Marekani yasimamisha mafunzo ya wanajeshi wa Saudi Arabia baada ya shambulizi la Florida

Marekani yasimamisha mafunzo ya wanajeshi wa Saudi Arabia baada ya shambulizi la Florida

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Wizara ya ulinzi ya Marekani imesitisha kwa kiasi fulani mafunzo ya marubani wa kijeshi kutoka Saudi Arabia kufuatia lile shambulizi katika kambi ya kijeshi ya Marekani mjini Florida.

Kulingana na wizara hiyo wanajeshi hao zaidi ya mia tatu hawatapokea mafunzo yoyote hadi taarifa zaidi itakapotolewa. Lakini mafunzo ya darasani kama kufunzwa Kiingereza yanatarajiwa kuendelea kutolewa.

Siku ya Ijumaa mwanajeshi mmoja wa Saudi Arabia alifyatua risasi katika kambi ya kijeshi ya Pensacola huko Florida na kuwauwa watu watatu. Wachunguzi wanasema huenda ikawa shambulio hilo lilichochewa na masuala ya ugaidi.

Kufikia sasa hakuna ishara yoyote ya mwanajeshi huyo kushirikiana na mtu yeyote katika kufanya shambulizi hilo.

1576072402246.png
 
... hawa jamaa sijui wana shida gani. Sijui ni frustrations za kiimani sijui ni vitu gani vinawafanya wanakuwa na depressions mbovu hivyo.
 
... hawa jamaa sijui wana shida gani. Sijui ni frustrations za kiimani sijui ni vitu gani vinawafanya wanakuwa na depressions mbovu hivyo.
Ni hiyo. unajua imani ya kiislamu inategemea sana hisia za muumini. haina divine support. sasa sisi binaadamu wenyewe tunajijua namna tunavyoweza fanya mambo ya ajabu
 
Cjaona Cha ajabu watatu kuuawa kwa kifo Cha aina hi but inaskitisha unauawa ukiwa kwako na wageni..
And not suprise too kwa sababu wamarrkani Sasa ni Kama wamezoea kuuana kwa bunduki kisa kikiwa so ugaidi Kama watuaminishavyo lakini ikiwa ni depression za watu na vijana wao..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom