Marekani yaungana na Russia, Korea Kaskazini na Belarus kupinga azimio la Umoja wa mataifa kulaani uvamizi wa Russia

Marekani yaungana na Russia, Korea Kaskazini na Belarus kupinga azimio la Umoja wa mataifa kulaani uvamizi wa Russia

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hakika hizi ni zama mpya, Marekani imeungana na mataifa kadhaa ya hovyo kupinga azimio la baraza la usalama la Umoja wa mataif(UN) lililowasilishwa na Umoja wa Ulaya kulaani uvamizi wa Russia nchini Ukraine na kuitaka iondoe majeshi yake Ukraine.

Hata hivyo azimio hilo limepita kwa wingi ws kura 93 dhidi ya 18 zilizopinga ikiwemo US huku mataifa 65 yakiharibu kura zao.
Screenshot_20250224-214833_X.jpg
 
Trump anaweza kuigeuza Marekani kuwa nchi ya kikomunisti huyu jamaa. Wamwangalie sana.


Wanaoibiwa kura tunalia na aina ya viongozi tunaopata. Wanaopiga kura kihalali nao wanalia na viongozi wanaowapata 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
 
Mataifa ya hivyo ndo yapi. Si ajabu mataifa ya hivyo uyasemayo nyie huko ist Afrika mkawa hamuwafikii kiuchumi hata robo ya chumi zao


Wewe unaijua North Korea. North Koreani nchi ya hovyo sana. Maisha yao huenda ni mabaya kuliko jehanamu!!

Wastani wa mshahara kwa north Korea ni kati ya dola 1 na dola 3 kwa mwezi. Hakuna nchi ya namna hiyo nyingine Duniani.

What is the salary in North Korea?

Official Salaries and Real Value

Official salaries in North Korea are very low, typically ranging between 5,000 and 10,000 won per month (equivalent to $1-$3). These salaries are insufficient to meet basic needs, forcing most citizens to rely on the informal market for essential goods.

Sisi pamoja na umaskini wetu, lakini tunawazidi GDP mpaka GDP per capita:

North Korea vs Tanzania: Economic Indicators ComparisonTanzania with a GDP of $58B ranked the 80th largest economy in the world, while North Korea ranked 89th with $43.3B. By GDP 5-years average growth and GDP per capita, Tanzania and North Korea ranked 18th vs 172nd.
 
Back
Top Bottom