Kyamkwikwi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 441
- 146
Sababu ya msingi ni eti kuepuka vurugu zinazoweza kutokea baada ya mahakama kutoa hukumu ya kesi ya uchaguzi siku ya J,mosi.
Ina maana Marekani tayari wanayajua matokeo ya hiyo kesi au wamehisi nini?
Ina maana Marekani tayari wanayajua matokeo ya hiyo kesi au wamehisi nini?