JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Marekani ilitangaza vikwazo vipya Jumanne dhidi ya Taliban, kama adhabu kwa ukandamizaji wao wa wanawake na wasichana nchini Afghanistan.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marakeni Anthony Blinken alitangaza vikwazo vipya vya visa kwa wanachama wa sasa au wa zamani wa Taliban, na wengine "wanaohusika katika kuwakandamiza wanawake kupitia sera na unyanyasaji."
Blinken alitoa tangazo hilo katika Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ya Umoja wa Mataifa.
"Kama mfano wa kusikitisha, kwa zaidi ya mwaka mmoja Afghanistan inasalia kuwa nchi pekee duniani ambako wasichana wamezuiwa kimfumo kuhudhuria shule baada ya darasa la sita, bila tarehe ya kurejea," Blinken alisema.
Baada ya kurejea madarakani mwezi Agosti 2021 kufuatia kuondoka kwa majeshi ya Marekani, kundi la Taliban lenye msimamo mkali limewazuia wasichana kuhudhuria shule za sekondari.
Hata hivyo, wanawake wanaruhusiwa kuhudhuria chuo kikuu.
Mlipuko wa hivi karibuni wa mjitoa mhanga kwenye darasa la shule moja mjini Kabul uliua na kujeruhi dazeni za wanafunzi walipokuwa wakijiandaa kwa mitihani.
--------
US Places More Sanctions on Taliban Over Treatment of Women
The United States announced new sanctions Tuesday against the Taliban as punishment for their repressive treatment of women and girls in Afghanistan.
Secretary of State Antony Blinken unveiled the new visa restriction policy for current or former members of the Taliban and others involved in repressing women through restrictive policies and violence.
Blinken made the announcement on the U.N.'s International Day of the Girl Child.
"As a grim example, for more than a year, Afghanistan remains the only country in the world where girls are systemically barred from attending school beyond the sixth grade, with no return date in sight," Blinken said.
After returning to power in August 2021 following the retreat of U.S.-led forces, the hardline Taliban have barred girls from attending secondary school. But women are allowed to attend university.
A recent suicide bombing of a Kabul classroom killed and wounded dozens of students as they prepared for exams.
The United Nations has put the death toll at 53, including 46 girls and young women.
The bomber blew himself up next to women at a gender-segregated study hall packed with hundreds of students taking a practice test for university admissions.
Source: VOA
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marakeni Anthony Blinken alitangaza vikwazo vipya vya visa kwa wanachama wa sasa au wa zamani wa Taliban, na wengine "wanaohusika katika kuwakandamiza wanawake kupitia sera na unyanyasaji."
Blinken alitoa tangazo hilo katika Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ya Umoja wa Mataifa.
"Kama mfano wa kusikitisha, kwa zaidi ya mwaka mmoja Afghanistan inasalia kuwa nchi pekee duniani ambako wasichana wamezuiwa kimfumo kuhudhuria shule baada ya darasa la sita, bila tarehe ya kurejea," Blinken alisema.
Baada ya kurejea madarakani mwezi Agosti 2021 kufuatia kuondoka kwa majeshi ya Marekani, kundi la Taliban lenye msimamo mkali limewazuia wasichana kuhudhuria shule za sekondari.
Hata hivyo, wanawake wanaruhusiwa kuhudhuria chuo kikuu.
Mlipuko wa hivi karibuni wa mjitoa mhanga kwenye darasa la shule moja mjini Kabul uliua na kujeruhi dazeni za wanafunzi walipokuwa wakijiandaa kwa mitihani.
--------
US Places More Sanctions on Taliban Over Treatment of Women
The United States announced new sanctions Tuesday against the Taliban as punishment for their repressive treatment of women and girls in Afghanistan.
Secretary of State Antony Blinken unveiled the new visa restriction policy for current or former members of the Taliban and others involved in repressing women through restrictive policies and violence.
Blinken made the announcement on the U.N.'s International Day of the Girl Child.
"As a grim example, for more than a year, Afghanistan remains the only country in the world where girls are systemically barred from attending school beyond the sixth grade, with no return date in sight," Blinken said.
After returning to power in August 2021 following the retreat of U.S.-led forces, the hardline Taliban have barred girls from attending secondary school. But women are allowed to attend university.
A recent suicide bombing of a Kabul classroom killed and wounded dozens of students as they prepared for exams.
The United Nations has put the death toll at 53, including 46 girls and young women.
The bomber blew himself up next to women at a gender-segregated study hall packed with hundreds of students taking a practice test for university admissions.
Source: VOA