Marekani yaweka dau nono la $25M kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro

Marekani yaweka dau nono la $25M kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Serikali ya Marekani imetenga dau la $25M kwa yeyote atakayesaidia au kufanikisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro kwa makosa ya ugaidi wa dawa za kulevya(Narco- terrorism).

Serikali ya Marekani inamtuhumu Maduro na viongozi kadhaa waandamizi wa Venezuela kufanikisha, kuchochea na kutumia biashara ya madawa ya kulevya ya Cocaine kama silaha ya kudhuru raia wa Marekani. Mwaka 2020 serikali ya Trump ilitenga kwa mara ya kwanza dau la $15M kukamatwa kwake na mwaka huu serikali ya Biden imeongeza dau hilo kufikia $25M.

Screenshot_20250113-101004_YouTube.jpg
 
Serikali ya Marekani imetenga dau la $25M kwa yeyote atakayesaidia au kufanikisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro kwa makosa ya ugaidi wa dawa za kulevya(Narco- terrorism).

Serikali ya Marekani inamtuhumu Maduro na viongozi kadhaa waandamizi wa Venezuela kufanikisha, kuchochea na kutumia biashara ya madawa ya kulevya ya Cocaine kama silaha ya kudhuru raia wa Marekani. Mwaka 2020 serikali ya Trump ilitenga kwa mara ya kwanza dau la $15M kukamatwa kwake na mwaka huu serikali ya Biden imeongeza dau hilo kufikia $25M.

View attachment 3200463
Wamkamate kwanza Jolani
 
Ndio mana sasaivi awapendi kutumia JESH wachanusanusa ichi za jilan zimejipanga sio kama miaka ileeee akiingia atoki!
 
Serikali ya Marekani imetenga dau la $25M kwa yeyote atakayesaidia au kufanikisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro kwa makosa ya ugaidi wa dawa za kulevya(Narco- terrorism).

Serikali ya Marekani inamtuhumu Maduro na viongozi kadhaa waandamizi wa Venezuela kufanikisha, kuchochea na kutumia biashara ya madawa ya kulevya ya Cocaine kama silaha ya kudhuru raia wa Marekani. Mwaka 2020 serikali ya Trump ilitenga kwa mara ya kwanza dau la $15M kukamatwa kwake na mwaka huu serikali ya Biden imeongeza dau hilo kufikia $25M.

View attachment 3200463
Pelekeni makomandoo wenu wamkamate walionekana wamebeba mbwa jana kwenye sherehe wakamshika adui $25 milioni ni hela nyingi sana zitawasaidia

pp.jpg
 
Back
Top Bottom