Marekani yazidi kubembeleza ili ibaki Niger

Marekani yazidi kubembeleza ili ibaki Niger

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Watawala wapya wa Niger wamefuta mahusiano na taifa la Ufaransa ambalo ndilo lilikuwa mkoloni wao.

Ufaransa baada ya kusita sita hatimae ilishindwa hoja na ikaamua kuongoka.

Marekani nayo imetakiwa ifanye kama hivyo lakini imekuwa king'anng'anizi ikidai kuwa inalinda maeneo ya jangwa la Sahel kutokana na vikosi vya ISIS ambao wana mafungamano na Alqaeda.

Eneo la Agadez ndiko kuna kambi kubwa ya kijeshi ya Marekani yenye askari wapatao 920 ikihodhi ndege kadhaa za kijeshi pamoji na droni.

Hiyo ndiyo kambi kubw ya kijeshi katika eneo lote la kaskazini ya Afrika.

The US attempts a new military deal with Niger in a last ditch effort to stay

 
Niger hawana urafiki na wanyonyaji.
 
Back
Top Bottom