Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Tukiwaambia Corona saa hz ni tishio
Angalia Jana Ufaransa imezuia mashabiki wa PSG kwenda Uwanjani
Uingereza imetoa €30 billion kuzuia athari za kiuchumi
Angela Mekel amesema ugonjwa huu unaweza kuambukiza 75% ya watu usipozuiriwa
China itatoa $40 billioni kufidia athari za kiuchumi zitokanazo na Corona
.Shirika la Afya Duniani limetangaza kuwa hili ni janga LA kimataifa yaani Pandemic disease
.
Dunia iko kwenye Tension kubwa pengine kuliko hata ya vita vya kwanza na vya Pili vya Dunia
Mahujaji wamezuiwa kukusanyika hii ni hatari kabisa kuwahi kutokea
Angalia Jana Ufaransa imezuia mashabiki wa PSG kwenda Uwanjani
Uingereza imetoa €30 billion kuzuia athari za kiuchumi
Angela Mekel amesema ugonjwa huu unaweza kuambukiza 75% ya watu usipozuiriwa
China itatoa $40 billioni kufidia athari za kiuchumi zitokanazo na Corona
.Shirika la Afya Duniani limetangaza kuwa hili ni janga LA kimataifa yaani Pandemic disease
.
Dunia iko kwenye Tension kubwa pengine kuliko hata ya vita vya kwanza na vya Pili vya Dunia
Mahujaji wamezuiwa kukusanyika hii ni hatari kabisa kuwahi kutokea