rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Simba walicheza mechi yao uwanja wa Liti, baadae tff na Bodi ya ligi ndio wanaona haufai. Kiukweli yanga wanabebwa mpaka leo bado hawajaadhibiwa kwa kuharibu viti uwanjani.Anayechagua mechi ichezwe wapi ni timu mwenyeji sasa mnailaumu vipi Yanga? Huo uwanja wa Tabora na Liti vimefungiwa muda sasa ila ikija Yanga na Simba kelele. Kwani hizo timu nyingine mbona hazikulalamika ( Ujinga wa Simba na Yanga).
Soma vizuri hapo ujue nani anayelalamikiwaAnayechagua mechi ichezwe wapi ni timu mwenyeji sasa mnailaumu vipi Yanga? Huo uwanja wa Tabora na Liti vimefungiwa muda sasa ila ikija Yanga na Simba kelele. Kwani hizo timu nyingine mbona hazikulalamika ( Ujinga wa Simba na Yanga).
Kamkopi Jemedari Insta naye kaibeba hivyo hivyoNi lini 5imba ili cheza uwanja wa Nyankubumbu? ukitoa uthibitisho nakupa 100K cash hapa
Wangepelekewa moto....Kwa nini usianze kulalamikia TFF Kwa kuipa Simba viporo visivyo na ulazima
Mfano Ni sababu ipi iliyopelekea mechi ya Simba na Azam kutochezwa mpaka Leo ?
Yule Jemedari Said Kazumari mjinga mjinga huyo mbwiga wa mbwiga.Kamkopi Jemedari Insta naye kaibeba hivyo hivyo
Analalamikiwa Yanga, japo mimi nimesema kwa ujumla sababu najua hata ingekuwa Kwa Simba, Yanga nao wangelalamika.Soma vizuri hapo ujue nani anayelalamikiwa
Ndugu,Habari za uhakika kutoka TPLB naambiwa mechi ya Tabora United na Yanga inachezwa Dodoma na ile ya Tabora United na Simba ndiyo itachezwa Tabora.
Hii dhana ya upendeleo kwa Yanga itaendelea kuwatafuna TPLB/TFF aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya.
Msimu uliopita yalikuwa haya haya ambapo Yanga hawakucheza Nyankumbu mechi yao na Geita ikachezwa KIRUMBA, Simba wakacheza mechi yao Nyankumbu.
Mechi ya Manungu kati ya Mtibwa na Yanga ilichezwa katikati ya dhana ya kwamba Yanga hawatocheza Manungu baada ya kiwanja kuonekana kibovuuuu lakini walicheza hali iliyofuta hiyo dhana, mechi hii ya Tabora pia kwamba Yanga hawatoenda Tabora na yametimia, kuweni makini watu wa mpira hatunaga siri.
Msimu huu yamejirudia yaleyale ya msimu uliopita, Yanga mechi na Tabora inachezwa Dodoma ila Tabora na Simba itachezwa Tabora, sababu ni zile zile kiwanja kinafungiwa halafu kinafunguliwa siku chache kabla ya mechi ya Yanga halafu wanasema kanuni inakataa kutumia hicho kiwanja kwahiyo Yanga wanakuwa kwenye faida.
Naambiwa kiwanja kimefunguliwa leo kwahiyo kanuni inataka baada ya siku 7 ndipo kianze kutumika, Yanga mechi yao ipo tarehe 23/12 siku 2 tu mbele, wakati ile ya Tabora na Simba ipo tarehe 29/12 siku 8 mbele ambapo ni ndani ya muda wa kikanuni.
Kumekuwa na dhana ya Yanga kupata “feva” kutoka kwa TFF/TPLB, wanaoharibu zaidi ni wapambe wanaojisifu kwamba Viongozi Wakuu Yanga na TFF wana nasaba kwahiyo wanafanya wanayotaka. Msiache dhana hii ikamea itapanda mbegu mbaya.
Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.
Credit to: Bin Kazumari Mtipa (The voice of the voiceless)
View attachment 2849040
Ijumaa kuna Mechi gani mkuu?TFF na Bodi bado ni Wahuni tu. Timu inachezaji Mechi ya kimataifa jumatano halafu Ijumaa icheze ligi?
Hapo tunasema "TIMU NI ZILE ZILE ILA KIWANJA NI TOFAUTI" hivyo haijalishi wamecheza wapi ila ukweli unabaki pale pale Kwa kuwa timu zitabaki ZILE ZILE Kwa ubora ule ule.Kwa akili ya kawaida hiyo mechi hata ingechezwa Tabora unadhani Yanga ingefungwa? Yaani nyie mle 5G then mtegemee Tabora awakomboe! Mbona mechi yenu na Azam inachelewesha mpaka mkae sawa!!
Uko Sahihi.Ndugu mbumbumbu Yanga si mwenyeji wa mchezo Hana uwezo wa kuchagua uwanja wa kuchezea.
Tff, au bodi yake wanao uwezo wa kufungia kiwanja kisicho faa ila hawana uwezo wa kuilazimisha timu ichezee kiwanja Gani ayo ni maamuzi ya timu husika.
Timu husika wanacho takiwa ni kuitaarifu bodi ni uwanja upi utatumika kuchezea mechi Yao nao uwe ni uwanja ambao ulisha ruhusiwa kutumika kwa michezo ya Ligi.
Kwahiyo viwanja vya ugenini vinakuwa vibovu na kufungiwa mechi za Yanga ikikaribia,halafu vinakuwa vizuri mechi za Simba za ugenini zikikaribia, shubammit!Ndugu mbumbumbu Yanga si mwenyeji wa mchezo Hana uwezo wa kuchagua uwanja wa kuchezea.
Tff, au bodi yake wanao uwezo wa kufungia kiwanja kisicho faa ila hawana uwezo wa kuilazimisha timu ichezee kiwanja Gani ayo ni maamuzi ya timu husika.
Timu husika wanacho takiwa ni kuitaarifu bodi ni uwanja upi utatumika kuchezea mechi Yao nao uwe ni uwanja ambao ulisha ruhusiwa kutumika kwa michezo ya Ligi.
Timu mwenyeji uwanja wake ukifungiwa mechi ya Yanga inapokaribia lazima apeleke mechi uwanja mwingine, halafu mechi ya simba ikikaribia uwanja unafunguliwa! Hujapata concept au ubongo umejaa matope.Anayechagua mechi ichezwe wapi ni timu mwenyeji sasa mnailaumu vipi Yanga? Huo uwanja wa Tabora na Liti vimefungiwa muda sasa ila ikija Yanga na Simba kelele. Kwani hizo timu nyingine mbona hazikulalamika ( Ujinga wa Simba na Yanga).
Mshindani wa Yanga ni nani kwenye ligi? Hata kama ukifunguliwa na timu nyingine zikacheza lengo la bodi na TFF inakuwa imetimiaKwani huo uwanja ulizuiliwa kwa mechi za Simba na Yanga tu? Mechi ngapi hazichachezwa hapo Al Hassan Mwinyi? Mbona hamkulalamika, acheni umbumbu. Leo liti umefungiwa mbona hamlalamiki timu kucheza na Singida Karatu? Kisa Yanga.
Pia Iko wazi kwamba logistics zilishapangwa kuhusu malazi kule Dom mapema na timu husika sasa huwezi kubadilisha ghafla ndo maana kanuni iliwekwa. Simply that.Unacholalamikia Wala akieleweki, yanga anahusikaje hapo? Kanuni ziko wazi Kama uwanja umefunguliwa Leo yanga aiwezi kucheza pale iyo ni kanuni ambayo vilabu vyote viliipitisha Sasa unailalamikia Nini TFF?