Bunge lililopita lili review marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013 ambayo ilibidi kurudishwa bungeni baada ya Rais JK na vyama vingine kujadiliana.
Napenda kuuliza kwa wenye habari vizuri kuhusu nini kimebadilika katika marekebisho hayo? Nimejaribu kufuatilia hapa jf sikuona. Nisaidieni wadau.
Napenda kuuliza kwa wenye habari vizuri kuhusu nini kimebadilika katika marekebisho hayo? Nimejaribu kufuatilia hapa jf sikuona. Nisaidieni wadau.