Marekebisho ya visimbuzi vya Azam

Marekebisho ya visimbuzi vya Azam

chichiboy1

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
1,371
Reaction score
1,856
Kisimbuzi cha Azam kinajizima na kuwaka kinapotaka, ni wakala gani maeneo ya Chamazi anayerekebisha hizi vitu manake nilienda kwenye duka la wakala nilipokinunua (nilinunua mwezi September) fundi wao akasema nitoe elfu 25 abadili LNB na HDMI cable?

Naona matangazo yanasema marekebisho ni bure, naomba mnielekeze pa kukipeleka kwa maeneo ya Chamazi.
 
King'amuzi cha Azam kinajizima na kuwaka kinapotaka, ni wakala gani maeneo ya Chamazi anayerekebisha hizi vitu manake nilienda kwenye duka la wakala nilipokinunua (nilinunua mwezi September) fundi wao akasema nitoe elfu 25 abadili LNB na HDMI cable! Naona matangazo yanasema marekebisho ni bure..naomba mnielekeze pa kukipeleka kwa maeneo ya Chamazi..
Wakizingua nenda HQ pale Tazarq
 
Azam kwenye ubora ni zero kabisa remote zao na kadi zinawahi sana kizingua na kila ikizingua basi lazima hela ikutoke. DStv kwenye ubora wa bidhaa wako vizuri sana
 
Azam kwenye ubora ni zero kabisa remote zao na kadi zinawahi sana kizingua na kila ikizingua basi lazima hela ikutoke. DStv kwenye ubora wa bidhaa wako vizuri sana
Unapofana nisha Dstv na Azam unakosea sanaa, ni sawa kufananisha Bajaji na V8
 
Back
Top Bottom