johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Baada ya Maria Sarungi kupatikana Waziri wa Utumishi Mh Mutuli naye ameibuka ghafla na kutaka Serikali ifanye Kitu Ili na yeye mtoto wake apatikane
Mutuli amesema mtoto wake alitekwa wakati yeye akiwa ni Mwanasheria mkuu wa Serikali na Sasa ni miezi 6 bado hajapatikana
Mutuli amesema kuingizwa kwake Kwenye Baraza la Mawaziri hakutamfanya aache kudai mtoto wake arejeshwe
Citizen TV
Mlale unono 😂
Mutuli amesema mtoto wake alitekwa wakati yeye akiwa ni Mwanasheria mkuu wa Serikali na Sasa ni miezi 6 bado hajapatikana
Mutuli amesema kuingizwa kwake Kwenye Baraza la Mawaziri hakutamfanya aache kudai mtoto wake arejeshwe
Citizen TV
Mlale unono 😂