Mkuu, Nobel Price ndio nini?Inatupa moyo kujua kuna Watanzania wazalendo wa kweli ambao wameweka sababu za kuwa hapa Dunia. Sio Machawa ambao wanaishi akili na moyo upo kwenye matumbo
Namtabiria huko mbele Maria atapewa Nobel price
View: https://youtu.be/FaN8lS_XNX0?si=mIbPy6Vr4WLKVKIo
Kweli kabisa ingekuwa hivyo Nyerere,Mkapa,Magufuli,Kwame Nkhuruma wangepewaNobel price haitolewi kizembe hivyo.
Naunga mkono hoja, mimi ni kaka yake tumesoma shule moja ya primary, kiukweli dada yangu huyu, yuko bold.Inatupa moyo kujua kuna Watanzania wazalendo wa kweli ambao wameweka sababu za kuwa hapa Dunia. Sio Machawa ambao wanaishi akili na moyo upo kwenye matumbo
Namtabiria huko mbele Maria atapewa Nobel price
View: https://youtu.be/FaN8lS_XNX0?si=mIbPy6Vr4WLKVKIo
Typing error, ni Nobel Prize.Mkuu, Nobel Price ndio nini?
Time inasema sioNobel price haitolewi kizembe hivyo.