Maria Sarungi ni adui wa Tanzania

Ngoja
Eenek sarungi asikie haya
 
Adui wa Watanzania ni CCM na majizi yake wala sio Dada Maria Sarungi tsehai.
 
A Foolish hopeless.
 
Weka hapa michango yake ya mijadala tuone matusi yake.
 
Ametukana matusi gani?? Tatizo watu waliozoea utukufu wa kifalme wakikosolewa wanasema wametukwanwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…