Hata piere si celeb! Bongo nini inashindikana?So ashakua celebrity?
Ebu picha kwanza mkuuTatizo mlikua mnashindwa kumuelewa, kuna mengi nyuma ya biriani, na sio birian ndiyo lilimpa umaarufu, ila kontena alilobeba nyuma ni hatari
ni kweli ila mbona tak** lake la kawaida ukilinganisha na misabwanda tunayoiona huku uswahiliniTatizo mlikua mnashindwa kumuelewa, kuna mengi nyuma ya biriani, na sio birian ndiyo lilimpa umaarufu, ila kontena alilobeba nyuma ni hatari
Huruma kwa mwenzioKapicha tafadhali
AiseeeKapicha tafadhali
Hata pm mzee kuna bannaogopa ban jombaa
Kama hujaiona ni ww mkuuHio clip haipo na hakuna upuuzi kama huo. Bisha kwa hoja ikiwezekana iweke hapa sio kutuimbia toka jana biriran biriani.