Maridhiano ya nini na CCM Wametukosea nini Watanzania?

Maridhiano ya nini na CCM Wametukosea nini Watanzania?

The Khoisan

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2007
Posts
16,434
Reaction score
14,547
Wakati wa John Pombe Magufuli, Freema Mbowe aliomba marithiano kule Mwanza. JPM akakausha.. Baada ya Mama Samia kuingia Madarakani alikuja na 4R na akaanzishisha maridhiano na Chadema.

Leo Wasira kasema kuwa ataendeleza maridhiano stakeholders wote siyo na mtu akitaja taasisi za kidini. NGOs, na Jumuiya za Kimataifa. Sasa inaonyesha kuwa CCM ni kweli wamekubali kuwa kuna mambo wamefanya yanayohitaji maridhiano.

Maswali yangu ni haya;
1. Hayo maridhiano ni ya nini?
2. CCM wamefanya nini mpaka wanataka maridhiano?
3. Waathirika ni akina nani au ni kundi gani?
4. Kama kweli kuna mambo ambayo yanahitaji maridhiano kwa nini wao wenyewe wasitutajie gayo maeneo yanayohitaji maridhiano?
5. Na kama wanataka maridhiano kwa nini wanataka wafanywe jwa terms zao. Kwa nini wasitafute tume au neutral people wasimamie hayo maridhiano?

Naomba kuwasilisha.
 
khoisan,

..mwaka 2018 nilipandisha uzi huo hapo chini.

..unaweza kuangalia maoni ya wadau wakati huo na sasa.

 
khoisan,

..mwaka 2018 nilipandisha uzi huo hapo chini.

..unaweza kuangalia maoni ya wadau wakati huo na sasa.


Huo uzi ni mutual na nakubaliana nao. Lakini that time CCM walikuwa hawajakubali makosa. Sasa kitendo cha wao kukubaliana na maridhiano ina maana wanakubali kuwa wamekosea na wamewaumiza watu. Kwa maana hiyo pia wawe wazi kuwa hayo marifhiano wanayotaka kuyafanya ni ya nini na ni maeneo gani?
 
Huo uzi ni mutual na nakubaliana nao. Lakini that time CCM walikuwa hawajakubali makosa. Sasa kitendo cha wao kukubaliana na maridhiano ina maana wanakubali kuwa wamekosea na wamewaumiza watu. Kwa maana hiyo pia wawe wazi kuwa hayo marifhiano wanayotaka kuyafanya ni ya nini na ni maeneo gani?

..maridhiano hayawezi kukwepa Tume Huru, Katiba Mpya, na Tume ya Haki, na Ukweli.

..Je, CCM wanajua wanachokwenda kukifanya, au wanazoza tu?
 
Back
Top Bottom