Maridhiano ya sirini hivi sasa yanakwenda kumgharimu Profesa Ndumila Kuwili

Maridhiano ya sirini hivi sasa yanakwenda kumgharimu Profesa Ndumila Kuwili

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Kati ya maagizo ambayo 'Prfesa Ndumila Kuwili' a.k.a KIBWETELE, alipewa ni kuhakikisha 'anaking'oa' meno MADECHA au anainywesha kinywaji kitakachoikata sauti.
Katika kuhakikisha hilo linatimia, plan yote ilichorwa nje ya MADECHA na Profesa Ndumila Kuwili kukabidhiwa mpango huo kwa ajili ya utekelezaji.

Mpango huo ulianza kutekelezwa kupitia Chaguzi za ndani. 'Toto Tundu' a.k.a Madenge, hakuujua mkakati huo, kuna 'Wachoraji' wakajatribu kumstua, lakini yeye akajiuliza hawa watu wameanza lini kuwa na mapenzi naye au Chama chao, hivyo ndiyo kwanza akaenda public akaweka msimamo wake kwamba atagombea nafasi ya Chini yake na wanaotaka kumchonganisha na Prefesa Ndumila Kuwili wajue mpango wao ume fail, na akaenda mbele na kuchukua form ya nafasi ya Chini yake.

Bado kule Karakana, kukawa kama hapana utulivu, kuna 'wachoraji' hawaku kubaliana kabisa na ule 'mchoro'. Wakaamua kutafuta namna ya kumuelekeza 'Toto Tundu' ili ajue kuwaiepangwa aondolewe kwenye ile nafasi ili kudidhoofisha MADECHA. 'Toto Tundu' huwa ni ngumu kuingilika, wakalazimika kuwatafuta wakubwa zao, akina Sukununu, na wenzake.

Pale ndipo 'Toto Tundu' alipoonyeshwa mchoro kwamba hata kushindwa kwa yule Mchungaji ilikuwa ni sehemu ya huo Mpango, Mchoro ukaonyesha kuwa katika oparesheni 'kung'oa meno', hata yeye hatakiwi kuwepo kwenye nafasi yake ya Chini aliyonayo na imeshapangwa nafasi hiyo apewe rafiki wa 'Abd al' bwana 'Wa nje'.

Hapo Toto Tundu ndipo akastuka kuona kumbe Profesa Ndumila Kuwili anamzunguka na zaidi anajiona yeye ni KIBWETELE na wengine wote ni wafuasi wake tu.

Baada ya kujiridhisha, Toto Tundu akapiga counter attack ambayo Profesa Ndumila Kuwili hakuitarajia wala wale jamaa wa Karakana hawakuitarajia. Aka withdrawal form yake ya ile nafasi ya Chini, akajaza kugombea nafasi ya Ndumila kuwili.

Hata sasa Profesa Ndumila Kuwili hayupo sawa, pamoja na kujitutumua lakini nguvu na matumaini yake katika kukabiliana na Toto Tundu yapo mikononi mwa wale jamaa kule Karakana ambao na wenyewe wamegawanyika kiasi wanaishi hawaaminiani, wamekuwa kama konokono, kwamba wana jinsia zote mbili, atakaye wahiwa ndiye atakayebeba mimba.
 
Kati ya maagizo ambayo 'Prfesa Ndumila Kuwili' a.k.a KIBWETELE, alipewa ni kuhakikisha 'anaking'oa' meno MADECHA au anainywesha kinywaji kitakachoikata sauti.
Katika kuhakikisha hilo linatimia, plan yote ilichorwa nje ya MADECHA na Profesa Ndumila Kuwili kukabidhiwa mpango huo kwa ajili ya utekelezaji.

Mpango huo ulianza kutekelezwa kupitia Chaguzi za ndani. 'Toto Tundu' a.k.a Madenge, hakuujua mkakati huo, kuna 'Wachoraji' wakajatribu kumstua, lakini yeye akajiuliza hawa watu wameanza lini kuwa na mapenzi naye au Chama chao, hivyo ndiyo kwanza akaenda public akaweka msimamo wake kwamba atagombea nafasi ya Chini yake na wanaotaka kumchonganisha na Prefesa Ndumila Kuwili wajue mpango wao ume fail, na akaenda mbele na kuchukua form ya nafasi ya Chini yake.

Bado kule Karakana, kukawa kama hapana utulivu, kuna 'wachoraji' hawaku kubaliana kabisa na ule 'mchoro'. Wakaamua kutafuta namna ya kumuelekeza 'Toto Tundu' ili ajue kuwaiepangwa aondolewe kwenye ile nafasi ili kudidhoofisha MADECHA. 'Toto Tundu' huwa ni ngumu kuingilika, wakalazimika kuwatafuta wakubwa zao, akina Sukununu, na wenzake.

Pale ndipo 'Toto Tundu' alipoonyeshwa mchoro kwamba hata kushindwa kwa yule Mchungaji ilikuwa ni sehemu ya huo Mpango, Mchoro ukaonyesha kuwa katika oparesheni 'kung'oa meno', hata yeye hatakiwi kuwepo kwenye nafasi yake ya Chini aliyonayo na imeshapangwa nafasi hiyo apewe rafiki wa 'Abd al' bwana 'Wa nje'.

Hapo Toto Tundu ndipo akastuka kuona kumbe Profesa Ndumila Kuwili anamzunguka na zaidi anajiona yeye ni KIBWETELE na wengine wote ni wafuasi wake tu.

Baada ya kujiridhisha, Toto Tundu akapiga counter attack ambayo Profesa Ndumila Kuwili hakuitarajia wala wale jamaa wa Karakana hawakuitarajia. Aka withdrawal form yake ya ile nafasi ya Chini, akajaza kugombea nafasi ya Ndumila kuwili.

Hata sasa Profesa Ndumila Kuwili hayupo sawa, pamoja na kujitutumua lakini nguvu na matumaini yake katika kukabiliana na Toto Tundu yapo mikononi mwa wale jamaa kule Karakana ambao na wenyewe wamegawanyika kiasi wanaishi hawaaminiani, wamekuwa kama konokono, kwamba wana jinsia zote mbili, atakaye wahiwa ndiye atakayebeba mimba.
Hamjui siasa kabisa mnafikiri ni mpira wa miguu!
 
Wajuaji wameelewa ujumbe wa uzi wanasema uzi uko uchi .....wangepigwa kodi za maana za kutoeleewa hata sentensi moja wangebaki kusema aliyeelewa anisaidie.
 
Kati ya maagizo ambayo 'Prfesa Ndumila Kuwili' a.k.a KIBWETELE, alipewa ni kuhakikisha 'anaking'oa' meno MADECHA au anainywesha kinywaji kitakachoikata sauti.
Katika kuhakikisha hilo linatimia, plan yote ilichorwa nje ya MADECHA na Profesa Ndumila Kuwili kukabidhiwa mpango huo kwa ajili ya utekelezaji.

Mpango huo ulianza kutekelezwa kupitia Chaguzi za ndani. 'Toto Tundu' a.k.a Madenge, hakuujua mkakati huo, kuna 'Wachoraji' wakajatribu kumstua, lakini yeye akajiuliza hawa watu wameanza lini kuwa na mapenzi naye au Chama chao, hivyo ndiyo kwanza akaenda public akaweka msimamo wake kwamba atagombea nafasi ya Chini yake na wanaotaka kumchonganisha na Prefesa Ndumila Kuwili wajue mpango wao ume fail, na akaenda mbele na kuchukua form ya nafasi ya Chini yake.

Bado kule Karakana, kukawa kama hapana utulivu, kuna 'wachoraji' hawaku kubaliana kabisa na ule 'mchoro'. Wakaamua kutafuta namna ya kumuelekeza 'Toto Tundu' ili ajue kuwaiepangwa aondolewe kwenye ile nafasi ili kudidhoofisha MADECHA. 'Toto Tundu' huwa ni ngumu kuingilika, wakalazimika kuwatafuta wakubwa zao, akina Sukununu, na wenzake.

Pale ndipo 'Toto Tundu' alipoonyeshwa mchoro kwamba hata kushindwa kwa yule Mchungaji ilikuwa ni sehemu ya huo Mpango, Mchoro ukaonyesha kuwa katika oparesheni 'kung'oa meno', hata yeye hatakiwi kuwepo kwenye nafasi yake ya Chini aliyonayo na imeshapangwa nafasi hiyo apewe rafiki wa 'Abd al' bwana 'Wa nje'.

Hapo Toto Tundu ndipo akastuka kuona kumbe Profesa Ndumila Kuwili anamzunguka na zaidi anajiona yeye ni KIBWETELE na wengine wote ni wafuasi wake tu.

Baada ya kujiridhisha, Toto Tundu akapiga counter attack ambayo Profesa Ndumila Kuwili hakuitarajia wala wale jamaa wa Karakana hawakuitarajia. Aka withdrawal form yake ya ile nafasi ya Chini, akajaza kugombea nafasi ya Ndumila kuwili.

Hata sasa Profesa Ndumila Kuwili hayupo sawa, pamoja na kujitutumua lakini nguvu na matumaini yake katika kukabiliana na Toto Tundu yapo mikononi mwa wale jamaa kule Karakana ambao na wenyewe wamegawanyika kiasi wanaishi hawaaminiani, wamekuwa kama konokono, kwamba wana jinsia zote mbili, atakaye wahiwa ndiye atakayebeba mimba.
Sasa imedhihirika , kwamba Profesa Ndumila Kuwili alimtuma yule wa-nje kwenda kugombea nafasi ya 'Toto Tundu', ndipo 'Toto Tundu' akaamua kumkabili Profesa Ndumila Kuwili.

 
Kati ya maagizo ambayo 'Prfesa Ndumila Kuwili' a.k.a KIBWETELE, alipewa ni kuhakikisha 'anaking'oa' meno MADECHA au anainywesha kinywaji kitakachoikata sauti.
Katika kuhakikisha hilo linatimia, plan yote ilichorwa nje ya MADECHA na Profesa Ndumila Kuwili kukabidhiwa mpango huo kwa ajili ya utekelezaji.

Mpango huo ulianza kutekelezwa kupitia Chaguzi za ndani. 'Toto Tundu' a.k.a Madenge, hakuujua mkakati huo, kuna 'Wachoraji' wakajatribu kumstua, lakini yeye akajiuliza hawa watu wameanza lini kuwa na mapenzi naye au Chama chao, hivyo ndiyo kwanza akaenda public akaweka msimamo wake kwamba atagombea nafasi ya Chini yake na wanaotaka kumchonganisha na Prefesa Ndumila Kuwili wajue mpango wao ume fail, na akaenda mbele na kuchukua form ya nafasi ya Chini yake.

Bado kule Karakana, kukawa kama hapana utulivu, kuna 'wachoraji' hawaku kubaliana kabisa na ule 'mchoro'. Wakaamua kutafuta namna ya kumuelekeza 'Toto Tundu' ili ajue kuwaiepangwa aondolewe kwenye ile nafasi ili kudidhoofisha MADECHA. 'Toto Tundu' huwa ni ngumu kuingilika, wakalazimika kuwatafuta wakubwa zao, akina Sukununu, na wenzake.

Pale ndipo 'Toto Tundu' alipoonyeshwa mchoro kwamba hata kushindwa kwa yule Mchungaji ilikuwa ni sehemu ya huo Mpango, Mchoro ukaonyesha kuwa katika oparesheni 'kung'oa meno', hata yeye hatakiwi kuwepo kwenye nafasi yake ya Chini aliyonayo na imeshapangwa nafasi hiyo apewe rafiki wa 'Abd al' bwana 'Wa nje'.

Hapo Toto Tundu ndipo akastuka kuona kumbe Profesa Ndumila Kuwili anamzunguka na zaidi anajiona yeye ni KIBWETELE na wengine wote ni wafuasi wake tu.

Baada ya kujiridhisha, Toto Tundu akapiga counter attack ambayo Profesa Ndumila Kuwili hakuitarajia wala wale jamaa wa Karakana hawakuitarajia. Aka withdrawal form yake ya ile nafasi ya Chini, akajaza kugombea nafasi ya Ndumila kuwili.

Hata sasa Profesa Ndumila Kuwili hayupo sawa, pamoja na kujitutumua lakini nguvu na matumaini yake katika kukabiliana na Toto Tundu yapo mikononi mwa wale jamaa kule Karakana ambao na wenyewe wamegawanyika kiasi wanaishi hawaaminiani, wamekuwa kama konokono, kwamba wana jinsia zote mbili, atakaye wahiwa ndiye atakayebeba mimba.
MADECHA ita danja shwaaaaa. Kama madenge wata mkata yaani. Mwamba madenge kapiga counter attack ya hatari saana wazee. Sema Lissu ni mtu zaidi ya mmoja.
 
Back
Top Bottom