Maridhiano yaliyommeza Mwenyekiti Mbowe Sasa yamehamia Kenya Raila kamalizwa kwa Nusu mkate kalegea mbendembende, Siasa ni Sayansi!

Maridhiano yaliyommeza Mwenyekiti Mbowe Sasa yamehamia Kenya Raila kamalizwa kwa Nusu mkate kalegea mbendembende, Siasa ni Sayansi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa Sasa Siasa za Tanzania ndio zinatawala ukanda wa Africa mashariki na nchi zote wanaiga CCM

Kenya Sasa kivitendo wako bado na katiba yao ya Zamani

Mlale unono 😄
 
Back
Top Bottom