Ilikuwa kwenye uzinduzi wa Maalim Seif Foundation ambapo majina mazito mazito pia yalikuwapo.
Walikuwapo kina Samia, Hussein Mwinyi, Othman Massoud, Jussa nk katika wanao matter kwenye siasa za Zanzibar.
Hotuba za kusisimua zikitolewa na waliokuwa mahasimu kweli kweli.
Ikumbukwe tumetokea huku:
na watu hawa hawa.
Kama huyu ni Jussa aliyevunjwa bega mwaka mmoja uliopita nini kinashindikana?
Kama hawa ni Othman Massoud na Hussein Mwinyi kishindikane nini chini ya jua?
Kwa hakika vidonda vya Oktoba 2020 vimeonekana kutibika. Bila shaka hata Maalim Seif angekuwapo katika mazingira ya leo, Zanzibar ingekuwa hapa hapa ilipo.
Haiyumkiniki uwepo wa rais JMT ambaye ni mzanzibari kumekuja na Suluhu (mwenyewe) halisi:
Maneno matamu kabisa yenye kuashiria suluhu kamili Zanzibar.
Wakati wazanzibari wakifurahia tamu ya maridhiano kwanini muarobaini huo hautumiki huku kwetu bara?
Kwanini Zanzibar maridhiano ni sasa lakini si huku kwetu bara?
Kwanini kwetu kipaumbele uchumi ni muhimu zaidi lakini siyo huko Zanzibar?
Ni nini siri ya mafanikio ya Zanzibar hali bara kumebakia kizungumkuti haswa?
NB: Maridhiano yoyote Zanzibar hayana chochote cha kufanya na yatokeayo Bara.
Walikuwapo kina Samia, Hussein Mwinyi, Othman Massoud, Jussa nk katika wanao matter kwenye siasa za Zanzibar.
Hotuba za kusisimua zikitolewa na waliokuwa mahasimu kweli kweli.
Ikumbukwe tumetokea huku:
na watu hawa hawa.
Kama huyu ni Jussa aliyevunjwa bega mwaka mmoja uliopita nini kinashindikana?
Kama hawa ni Othman Massoud na Hussein Mwinyi kishindikane nini chini ya jua?
Kwa hakika vidonda vya Oktoba 2020 vimeonekana kutibika. Bila shaka hata Maalim Seif angekuwapo katika mazingira ya leo, Zanzibar ingekuwa hapa hapa ilipo.
Haiyumkiniki uwepo wa rais JMT ambaye ni mzanzibari kumekuja na Suluhu (mwenyewe) halisi:
Maneno matamu kabisa yenye kuashiria suluhu kamili Zanzibar.
Wakati wazanzibari wakifurahia tamu ya maridhiano kwanini muarobaini huo hautumiki huku kwetu bara?
Kwanini Zanzibar maridhiano ni sasa lakini si huku kwetu bara?
Kwanini kwetu kipaumbele uchumi ni muhimu zaidi lakini siyo huko Zanzibar?
Ni nini siri ya mafanikio ya Zanzibar hali bara kumebakia kizungumkuti haswa?
NB: Maridhiano yoyote Zanzibar hayana chochote cha kufanya na yatokeayo Bara.