Hata bila kuwa refa mimi wapinzani mmejikita zaidi mijini nalo pia kuna kijani kibao,hao maridhiano ni ya nn sasa wakati mnapiga za uso kila mahali,unadhani zenji na hapa hali ya ushindani ni sawa?Refa wewe na mshindani wewe na bado mnao ujasiri wa kujikiia washindi.
Mbona maridhiano haya ni kwa wazanzibari tu? Humuoni Mh. Zitto alivyopwaya kwenye hiyo hafla?
Wazanzibar siku zote wanavurugwa na upande wa bara
Huku Watanganyika hatupendani, ndo maana alipoingia tu madarakani akawatoa wazanzibar wenzake uhamsho, wakati huo huo watanganyika wanamtengenezea mtanganyika mwenzao kesi ya ugaidi na walitaka kumuua Lissu kisa kutofautiana mitizamo ya kisiasa
Hata bila kuwa refa mimi wapinzani mmejikita zaidi mijini nalo pia kuna kijani kibao,hao maridhiano ni ya nn sasa wakati mnapiga za uso kila mahali,unadhani zenji na hapa hali ya ushindani ni sawa?
Tukubaliane na nyinyi nini wakati nyie ni washindwa tu,Tume hata ikiwa huru kama mnavyotaka hamna uwezo wa kuongoza nchi nyie,mtatuuza tu,kuliko nchi mchukue nyinyi bora tutawaliwe na jeshi kuliko nyie vibaraka wa mabeberuKama upinzani wamejikita mijini wasiwasi wenu nini kuridhia tume huru? Si mtashinda tu nyie mliojizatiti?
Kwani wasiwasi wenu nyie nini hadi makubaliano kujiweka kwenye mazingira ya kujiweka kwenye ushindani dhwalimu usiokubalika hata na mtoto mdogo?
Umma ndo utaamuaTukuliane na nyinyi nini wakati nyie ni washindwa tu,Tume hata ikiwa huru kama mnavyotaka hamna uwezo wa kuongoza nchi nyie,mtatuuza tu,kuliko nchi mchukue nyinyi bora tutawaliwe na jeshi kuliko nyie vibaraka wa mabeberu
HakikaUmma ndo utaamua
Tukubaliane na nyinyi nini wakati nyie ni washindwa tu,Tume hata ikiwa huru kama mnavyotaka hamna uwezo wa kuongoza nchi nyie,mtatuuza tu,kuliko nchi mchukue nyinyi bora tutawaliwe na jeshi kuliko nyie vibaraka wa mabeberu
Kwani hapa kuna haja ya kujua nani ni nani?Kwani wewe nani mjomba? Kulikoni kunipa umuhimu usiokuwa nao?
Kwani hapa kuna haja ya kujua nani ni nani?
Hiyo ROHO MBAYA, huwa tunawalazimisha sisi tu, kutoka huku BARA!
Hebu kumbuka ile kauli kuwa, "kwa nini anaukataa mkono unao saini hundi kwa ajili ya fedha za kumtibia…….!"