Mimi ilinishindaMajuto ni mjukuu...Ila nawasifu wale wote wanaovumilia 'racism' huko mbele kisa cheo cha uDiaspora.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1376][emoji1376][emoji1376]Balotell na Morrison baba mmoja
Ulizingua mkuu.Mimi ilinishinda
Ila kweli mkuu nilizingua najutaUlizingua mkuu.
Mkuu umeongea ukweli na uhalisia.Watu wnatafuta maisha.Tuache unafki nan angekubal kurudi Africa?
Kama pogba asingechezea France angekuwa wapi?
Yote ni utafutaji wa maisha.
Nfio hivyo mkuuMkuu umeongea ukweli na uhalisia.Watu wnatafuta maisha.
Inategemea kila mmoja ana stori yake kwanini anachezea taifa jingine.Tuache unafki nan angekubal kurudi Africa?
Kama pogba asingechezea France angekuwa wapi?
Yote ni utafutaji wa maisha.