leo gomez kaonesha kuwa kufunga magoli zaidi ya matatu katika mechi moja inawezekani ni baada ya kushusha kisago kwa wababe wa manure, fc baseball.. bayern kashinda 7 bila..
huyu jamaa hata ukiwaufuatilii bundas jamaa anajua kufunga na ndio anamfutia mesi kwa hiyo wewe mchimba chumvi utakufa nalo..
kheee kheee kheeee na bado...