Marioo achaguliawa tuzo za Soundcity kama Best Upcoming Artist

Marioo achaguliawa tuzo za Soundcity kama Best Upcoming Artist

G_real

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2019
Posts
684
Reaction score
855
Waandaaji wa Tuzo za Soundcity MVP wametangaza orodha ya wasanii wanaowania vipengele mbalimbali kwenye Tuzo hizo Watanzania @Diamondplatnumz @RayVanny @S2kizzy @OfficialNandy @Harmonize_tz na @Marioo_tz wametajwa
.
Diamond Platnumz anaongoza akiwa ametajwa kuwania vipengele 6 Ikiwemo Artist Of The Year, Best Male na Best Collaboration kupitia mkwaju wa 'Inama' Ray Vanny anamfata akiwa ametajwa kuwania vipengele 3 ikiwemo kipengele Kikubwa zaidi cha 'Song of The Year', Hii ndio orodha Kamili ya Nominees
.
Marioo ametajwa kwenye kipengele cha Best New MVP, S2kizzy anawania kipengele cha 'Producer of The Year', Nandy anawania kipengele cha 'Best Female' na Harmonize anawania kipengele cha 'Listeners Choice Award' orodha Kamili ya Nominees.

Screenshot_20191217-083740~2.jpeg
Screenshot_20191217-083732~2.jpeg
Screenshot_20191217-083725~2.jpeg
Screenshot_20191217-083716~2.jpeg
Screenshot_20191217-083709~2.jpeg
Screenshot_20191217-083646~2.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me napenda hao wasanii wengine Kama rayvanny,harmonize,nandy,skizzy,Mario ndo wachue ili waonje Radha ya hii tuzo maana hii tuzo mondi kabeba Sana Haina haha yeye kuchukua Bora hiyo tuzo iende kwa hao.
 
tuwapigieni kura kwa wingi waendelee ipeperusha vyema nchi yetu
 
unamwongelea sim, kwenye nomination yupo simmy, hauoni ni tofauti. simmy(zambia), simi(nigeria)

nb; simi hawezi kuwa kwenye category ya upcoming, ni kumkosea heshima kama ingetokea.
Simmy ni kutoka SA
 
Mbona king kiba sijamuona au ndio hajataka kutangazwa kwakuwa hapendi show off???
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 show off
 
unamwongelea sim, kwenye nomination yupo simmy, hauoni ni tofauti. simmy(zambia), simi(nigeria)

nb; simi hawezi kuwa kwenye category ya upcoming, ni kumkosea heshima kama ingetokea.
Kuna msanii wa kike wa Zambia anayefanya vizuri anaitwa Simmy?.

Naomba baadhi ya kazi zake nione...namjua tu Simmy wa SA...na ni mzuri hatari. Kwenye nominations hiyo ni sura yake.
 
Back
Top Bottom