Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Ushauri tu kwa mwanamuziki Marioo awe anaacha kuvaa miwani meusi kwenye video zake kwa sehemu kubwa. Diamond tulimjua haraka huku vijijini mwanzoni aliimba kavukavu. Zuchu pia hata watoto wa miaka 2 huku vijijini wanamjua, Na nyie wengine mnaoingia acha miwani hatuwajui haraka.
View attachment 2237045View attachment 2237046View attachment 2237047
View attachment 2237045View attachment 2237046View attachment 2237047