Marioo na wenzio acheni kuvaa miwani meusi kwenye video zenu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Eti Marioo anamkula mtoto mzuri mimimars jamani jamani pesa na kipaji hivi vitu vinanguvu
 
Eti Marioo anamkula mtoto mzuri mimimars jamani jamani pesa na kipaji hivi vitu vinanguvu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hafananii kumla Mariane Mdee?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hafananii kumla Mariane Mdee?
Huyo mtoto mzuri sana,nahis zamani tulishindwa kumjua mpenzi wake itakuwa kulikuwa na kibosile mume wa mtu alikuwa anatumia kimya kimya,nahisi watakuwa wameachana
 
Huyo mtoto mzuri sana,nahis zamani tulishindwa kumjua mpenzi wake itakuwa kulikuwa na kibosile mume wa mtu alikuwa anatumia kimya kimya,nahisi watakuwa wameachana
Wee nae si yule mbunge wa...... Waliachana mbna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…