cinderelalove
Senior Member
- Feb 23, 2013
- 189
- 39
wanaume wa siku hizi si wote but kuna baadhi yao hovyoo sana,wao wanajua kutongoza tuu halaf hajui hata huyo anaemtongoza anahudumiwaje,wao kaz yao ni kuomba pesa tuu hawajui kutafuta,wanajua kupiga mizinga kwa wapenzi wao tuu,mara em rusha hapo 10000 ntakurudishia kuna ishu nafuatilia,uongo mtupu,na anajua fika huwezi mdai,.ila ukimwambia ww kuwa huna vocha hata ya jero anajishikashikaaa wee mwisho anajidai mambo hayajakaa vizuri....MIE SILEI MARIOO,nataka anaejua nn maana ya mwamke(baby)anitunze nimtunze,tuheshimiane,........thats all........polen ladies wenzangu