Mariupol, Ukraine: Raia wakwama kuondoka baada ya jitihada za kusitisha mapigano kugonga mwamba

Mariupol, Ukraine: Raia wakwama kuondoka baada ya jitihada za kusitisha mapigano kugonga mwamba

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Kaimu Waziri Mkuu wa Ukraine, Iryna Vereshchuk amesema Wananchi wa Mji wa Mariupol wameshindwa kuondoka baada ya Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda kushindwa kutekelezwa

Kutokana na hali inayoendelea, imeelezwa kuwa jitihada za kupelekea Chakula, Maji na Dawa kwenye Mji huo zimeshindikana

Aidha, Waziri wa Elimu wa Ukraine amesema tangu mashambulizi ya Urusi dhidi ya Taifa hilo kuanza, zaidi ya maeneo 280 ya kutoa Elimu yakiwemo Shule, Vyuo vya Ufundi na Vyuo Vikuu vimeharibiwa

======

Not a single civilian was able to leave the encircled Ukrainian city of Mariupol as Russian forces failed to respect a temporary ceasefire to allow evacuations, Ukraine’s Deputy Prime Minister Iryna Vereshchuk has said.

Meanwhile, efforts to send food, water and medicine into the city failed when Russian tanks attacked a humanitarian corridor, President Volodymyr Zelenskyy said.

“This is outright terror … from experienced terrorists,” he said. “The world needs to know this. I have to admit it – we are all dealing with a terrorist state.”

Ukraine’s minister of education has said more than 280 educational facilities have been damaged or destroyed by “bombing and shelling”.

“The enemy ruthlessly destroys kindergartens, schools, vocational schools, colleges, universities,” Serhiy Shkarlet said. “But the most brutal and painful losses are hundreds of lives lost at the hands of the aggressor.”

Source: Al Jazeera
 
madhara ya kua na Rais fala ndio haya ...

yaani wewe unakomalia kumuungamia Mmarekani Raia wanaumia
 
Raia hawajakwama i'la majeshi ya Ukraine yanawafanya raia kuwa ngao..wakiogopa kichapo wakiwa free..ona hiyo kutoka aljazeera.
FB_IMG_1646993843063.jpg
 
Kaimu Waziri Mkuu wa Ukraine, Iryna Vereshchuk amesema Wananchi wa Mji wa Mariupol wameshindwa kuondoka baada ya Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda kushindwa kutekelezwa

Kutokana na hali inayoendelea, imeelezwa kuwa jitihada za kupelekea Chakula, Maji na Dawa kwenye Mji huo zimeshindikana

Aidha, Waziri wa Elimu wa Ukraine amesema tangu mashambulizi ya Urusi dhidi ya Taifa hilo kuanza, zaidi ya maeneo 280 ya kutoa Elimu yakiwemo Shule, Vyuo vya Ufundi na Vyuo Vikuu vimeharibiwa

======

Not a single civilian was able to leave the encircled Ukrainian city of Mariupol as Russian forces failed to respect a temporary ceasefire to allow evacuations, Ukraine’s Deputy Prime Minister Iryna Vereshchuk has said.

Meanwhile, efforts to send food, water and medicine into the city failed when Russian tanks attacked a humanitarian corridor, President Volodymyr Zelenskyy said.

“This is outright terror … from experienced terrorists,” he said. “The world needs to know this. I have to admit it – we are all dealing with a terrorist state.”

Ukraine’s minister of education has said more than 280 educational facilities have been damaged or destroyed by “bombing and shelling”.

“The enemy ruthlessly destroys kindergartens, schools, vocational schools, colleges, universities,” Serhiy Shkarlet said. “But the most brutal and painful losses are hundreds of lives lost at the hands of the aggressor.”

Source: Al Jazeera
Rais wa Ukraine jinga sana, yaani eti anagawa silaha kwa kila raia matokeo yake raia wanakuwa potential target ya majeshi ya Russia
 
Rais wa Ukraine jinga sana, yaani eti anagawa silaha kwa kila raia matokeo yake raia wanakuwa potential target ya majeshi ya Russia
Putin ndio mpumbavu, wewe unaendaje kuvamia nchi ya watu na kutaka uwatawale kwa nguvu, huyu mtu jinga kabisa.
 
Wanalipa gharama ya kugawa hovyo silaha kwa raia wakapambane na wanajeshi wa urusi.

Vita haina macho
IMG_20220313_095131.jpg
IMG_20220228_155950.jpg
JamiiForums-28537000.jpg
 
Hakuna mahali put kasema anataka kuitawala Ukraine,

Acha Kumlisha maneno kiongoz shupavu[emoji4]
Urusi mbona Mji wa mariupol kamteka mayor aliyechaguliwa kaweka mayor mpya sio kutawala huko?
 
Putin ndio mpumbavu, wewe unaendaje kuvamia nchi ya watu na kutaka uwatawale kwa nguvu, huyu mtu jinga kabisa.
Hapana Putin hana tatizo. Ningekuona una akili kama ungeongelea pia Yemen, Syria, Palestine, Afghanistan etc ambako US kaua watu wengi sana na wanaendelea kufa.
 
Duh Mainstream Media wanaendelea kusema ukweli taratiibu kadri dozi inavyozidi ona hiyoo.
Mnaojua kizungu waelekezeni wenzetu wamemaanisha Nini
Screenshot_20220313-203408-01.jpg
 
Back
Top Bottom