Mark 11 GX 110 engine 1G-FE vvti inatumia oil lita ngapi?

eliji

Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
6
Reaction score
8
Wakuu habari,

Naomba kujua gari Aina ya mark 11 GX 110 engine 1G-FE vvti inatumia oil lita ngap maana wengine wanasema Lita 4 wengine lita5 na Mimi nimeweka lita4 nimeona kabisa ipo full kwenye stick mzoefu naomba anisaidie wakuu.
 
Wakuu habari,

Naomba kujua gari Aina ya mark 11 GX 110 engine 1G-FE vvti inatumia oil lita ngap maana wengine wanasema Lita 4 wengine lita5 na Mimi nimeweka lita4 nimeona kabisa ipo full kwenye stick mzoefu naomba anisaidie wakuu.
Hiyo vvti ndio yenye 4cylinder?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…