Car4Sale Mark 2 baloon.3.5mln

edger jairos

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
335
Reaction score
71
Bei maelewano.
Mwaka.1994
Engine cc 1938
4 cylinder
full ac
Haidaiwi.+ full vibari.
Engine mpya.
Gear box ziko poa san
With no problem
Can watsap or call 0713099309
Bei 2.5
 
Watanzania ufike wakati tujifunze kukubaliana kuwa kitu hiki kimeisha, kimemaliza thamani yake kikiwa mkononi mwangu. Kisha tukijua hivyo hili tangazo lingekuwa hivi:-

Spea za gari zinauzwa, ukinunua gari hii utapata spea kama vile .....,.....n.k

Lakini kudanganya watu mara injini mpya mara nini ni dhambi. Hivi bei ya injini mpya hata ya bajaji unaweza kuipata kwa million 3.5?
 
Ukijua thamani ya spea na ujue thamani ya gar.hatupimi uzur wa kitu kweny thamani au fashion.ukimaliza kunywa soda kwenye kopo ukatupa wengin wanaokota .we are .not equal
 
Ukijua thamani ya spea na ujue thamani ya gar.hatupimi uzur wa kitu kweny thamani au fashion.ukimaliza kunywa soda kwenye kopo ukatupa wengin wanaokota .we are .not equal
ila hapo kwenye engine mpya!
 
Nina laki na nusu nifugie simbilisi na kalulu humo
 
Mtazamo tu kwani hio bei si ni sawa na bei ya spea tu?Engine tuseme ni laki 8 gearbox laki 4 vioo vyote 250000,milango yote 300,000 taa zote 150,000 siti zote laki 2 sitayari imefika milioni mbili?Hio bei ni bei ya spea bwana so usilete hoja isokuwa na miguu
 
Wewe ni mpumbavu, kuna engine ya gari mpya ya laki 8? Hovyo kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…