Digital Innovator
Member
- Jul 27, 2016
- 27
- 17
Ukiwa unaweka tangazo la biashara hakikisha umelisoma vizuli kabla hujatuma hasa tangazo likiwa fupi kama lako, naona cm yako imeshindwa kuandi hivi ½ lita.Salaam wadau,
Naomba msaada wa kufahamishwa market price ya mafuta ya alizeti kwa Dar es salaam katika ujao huu apa "0.5 Lt, 1 Lt, 3 Lts, 5 Lts, 10Lts & 20Lts"
Ahsante.
KuuzaUkiwa unaweka tangazo la biashara hakikisha umelisoma vizuli kabla hujatuma hasa tangazo likiwa fupi kama lako, naona cm yako imeshindwa kuandi hivi ½ lita. .
Embu fafanua unataka kuuuza au kununua?
Mafuta unayo mkoa gani?Salaam wadau,
Naomba msaada wa kufahamishwa market price ya mafuta ya alizeti kwa Dar es salaam katika ujao huu apa "0.5 Lt, 1 Lt, 3 Lts, 5 Lts, 10Lts & 20Lts"
Ahsante.
24000Salaam wadau,
Naomba msaada wa kufahamishwa market price ya mafuta ya alizeti kwa Dar es salaam katika ujao huu apa "0.5 Lt, 1 Lt, 3 Lts, 5 Lts, 10Lts & 20Lts"
Ahsante.
Kiasi gani cha ujazo?24000
Lita tanoKiasi gani cha ujazo?
Kwa Sasa lt5 ni 30,000/=Lita tano