Marketing and sales people needed for discussion

Ikemefuna funa

Senior Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
167
Reaction score
33
Jamani mi naomba watu wote waliosomea au wenye uzoefu na kazi ya sales and marketing, tuonane hapa, ili tuweze kujuzana hili na lile katika fani hii,

Ahsante.
 
Jamani mi naomba watu wote waliosomea au wenye uzoefu na kazi ya sales and marketing, tuonane hapa, ili tuweze kujuzana hili na lile katika fani hii,

Ahsante.

Eee unatatizo gani mkuu katika secta ya masoko na mauzo maana ndo secta inayoongozwa kwa kuingiliwa na watu makanjanja wasio na elimu na ujuzi wa fani hii...
 
kwa uzoefu wangu, ni sector ambayo mwajiri ni rahisi sana kukupima, kuliko uhasibu au ugavi, ni sector yenye lawama sana, kwenye sehemu zakazi, maana ukilegea na kampuni inaanguka, ukiwa katika sector hii na ukawahi kufanya kazi ya kutafuta wateja, basi wewe utawaheshimu sana wateja, na hutokuwa na lugha chafu,maana unajua ugumu wa kuwapata hao wateja.
 
Naweza kuhitimisha kwa kusema ni kazi ya lawama kuliko zote duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…