Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 116
Unainua simu yako bila kujali upo nchi au nchi ya nje unaamua kumpigia jamaa yako aliopo TIGO wakati unasubiri muito wa simu, ghafla unasikia kwa kuchagua nyimbo bonyeza moja.
Huu na mitindo mingine mibaya imekuwa ndio strategy ya tigo. Inakera saana kwa wale wapiga simu. Maana mie ndiye ninayepiga kisha naambiwa nibonyeze moja, wanajua natumia mtandao gani. Hii ni strategy inayochefua saana. Bahati mbaya wanasahau kuwa marketing advertisement should be attractive na iwe clear. Sina hakika kwa wale wasiofahamu kabisa kiswahili, huenda wakadhani ni voice mail. Hivi kweli huo ndio mwisho wa kufikiri? Hivi core business ya tigo ni hizo nyimbo au ni simu? Kuna haja ya kujipanga na kufanya mambo katika hali inayoonyesha kuwa watu wapo serious. Sina hakika kama upuuzi huu unapatikana maeneo mengine.
Huu na mitindo mingine mibaya imekuwa ndio strategy ya tigo. Inakera saana kwa wale wapiga simu. Maana mie ndiye ninayepiga kisha naambiwa nibonyeze moja, wanajua natumia mtandao gani. Hii ni strategy inayochefua saana. Bahati mbaya wanasahau kuwa marketing advertisement should be attractive na iwe clear. Sina hakika kwa wale wasiofahamu kabisa kiswahili, huenda wakadhani ni voice mail. Hivi kweli huo ndio mwisho wa kufikiri? Hivi core business ya tigo ni hizo nyimbo au ni simu? Kuna haja ya kujipanga na kufanya mambo katika hali inayoonyesha kuwa watu wapo serious. Sina hakika kama upuuzi huu unapatikana maeneo mengine.