Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha Dharau Mkuu.... Wangeomba Permission Tu Kwake. Mbona Tanapa Wamepost Kwenye website Yao more than 5days ago MkuuCopyright wenye picha wameruhusu picha itumiwe kwa matangazo au unawatafutia lawsuits??
Hao siyo kina AmberRutty au Giggymoney, ukitumia picha zao ovyo, jiandae kulipa mabilioni.
Everyday is Saturday............................... 😎
Hacheni kuandika vitu kama mpo mabwenini,sio kila mtu anajua hao ni nani.Tuambie kwanza ni akina nani ili tuuelewe uzi wako.Wakuu Habari Ya Machweo,
Ila Kuna Makampuni sjui hayajui Kufanya Marketing. Yaani mpaka sasa sio Coca Cola wala Watu SBL Wanaomiliki Bia Ya Serengeti au TBL wanaomiliki Bia ya Kilimanjaro wamepost hii picha kwenye Mitandao ya kijamii For Promo issue... Au Mm Ndio Sjui Mambo Ya Marketing Wakuu [emoji849][emoji849]View attachment 1809902