Umekaa ukawaza ukaona hii nayo ni thread yakuanzisha!..nalog off..
question 2, ulevi, uzembe, uchakavu wa vyombo vya usafiri, madereva kutokuwa na ujuzi wa kutosha, barabara mbovu na chakavu,,,,, na mwishhoooooooooo... Mmmmhhhhhhhhhhh ,,,,,,,,,,,,,,RUSHWAAAAAAA,,,,,,,,
Ameishiwa "IDEA" anafanya kulazimisha sasa.
umesaau Ngono zembe.
Ili ilete maana lazma uende somo moja moja. Kuna idadi ya masomo zaidi ya kumi. Yote uyaweke sehemu moja. Utapata kitu cha ajabu sana. Njia ya kupata maswali, kuwe na mtu mmoja anatuma mswali yote kwa wakati mmoja sio kila mtu anatuma swali. Maswali yatajirudia sana.