Maroon Tchakei ni mali nyingine ya maana kabisa ikisajiliwa Simba dirisha dogo

Maroon Tchakei ni mali nyingine ya maana kabisa ikisajiliwa Simba dirisha dogo

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nawashauri sana viongozi wangu huyu Maroon Tchakei ni fundi hasa zaidi ya Ahoua sijui Ngoma sijui Okajepha.

Huyu jana angekuwa ndio sehemu ya Simba zile faulo alizokuwa akipiga hovyo Ahoua jamaa alikuwa anaweka kambani kabisa

Chonde chonde viongozi mnaodili na usajili mechi ya marudiano na Yanga mtakosa visingizio, wekeni huyu mtu alete furaha, kiungo yeye kiungo Fernandez, kulia na kushoto Mpanzu na Kibbu, Ateba anafurahi tu,

Yanga hawajatuzidi kimpira wametuzidi sana kwenye mbinu nje ya uwanja na mbinu hizo wameanza kutuzidi sio leo tangu enzi za Tabu Mangara akaja mzee Matunda.

Sajilini Tchakei mtakuja kunishukuru
 
Tuna imani na Scout wetu siyo Mascout ya JF
 
Kibu tena? Kwanini mbavu moja asile mpanzu nyingine huyo tchakei halafu kibu aanzie benchi? Black stars watataka hela nyingi sijui kama simba wapo tayari kutoa kwa sergi pokou tulichemka kizembe tu akaenda al hilal.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Nawashauri sana viongozi wangu huyu Maroon Tchakei ni fundi hasa zaidi ya Ahoua sijui Ngoma sijui Okajepha.

Huyu jana angekuwa ndio sehemu ya Simba zile faulo alizokuwa akipiga hovyo Ahoua jamaa alikuwa anaweka kambani kabisa

Chonde chonde viongozi mnaodili na usajili mechi ya marudiano na Yanga mtakosa visingizio, wekeni huyu mtu alete furaha, kiungo yeye kiungo Fernandez, kulia na kushoto Mpanzu na Kibbu, Ateba anafurahi tu,

Yanga hawajatuzidi kimpira wametuzidi sana kwenye mbinu nje ya uwanja na mbinu hizo wameanza kutuzidi sio leo tangu enzi za Tabu Mangara akaja mzee Matunda.

Sajilini Tchakei mtakuja kunishukuru

Hakuna mchezaji ligi yetu anaitwa MAROON Tchakei

SBS ina mchezaji anaitwa Marouf Tchakei

Marouf Tchakei ni bonge moja la #10, ana kasi, anajua kuficha mpira (possession skills), anajua mipira iliyokufa faulo&kona
Simba walishaongea mpaka na agent wake msimu uliopita ili wamsajili lakini kizingiti kikuu ni Mwigulu

Mwigulu aliweka ngumu dogo aende Simba kwasbb ya mahaba yake kwa Uto,akaona Simba wataenda kunufaika pale japo Simba walikuwa tayari kufika dau la usajili
Ndipo Simba wakamfata Ahoua, japo kajamaa ni cha kawaida sana hafiki hata nusu ya quality aliyonayo Tchakei

SBS pale kuna talent za maana sana sana kina Arthur Bada, Elvis Rupia, Anthony Tra Bi Tra, kulikuwa na Benjamin Tanim beki pekee aliyekuwa anaitwa National team Nigeria kutokea Africa

Scout anaefanya kazi na SBS nampa salute sana
 
Nawashauri sana viongozi wangu huyu Maroon Tchakei ni fundi hasa zaidi ya Ahoua sijui Ngoma sijui Okajepha.

Huyu jana angekuwa ndio sehemu ya Simba zile faulo alizokuwa akipiga hovyo Ahoua jamaa alikuwa anaweka kambani kabisa

Chonde chonde viongozi mnaodili na usajili mechi ya marudiano na Yanga mtakosa visingizio, wekeni huyu mtu alete furaha, kiungo yeye kiungo Fernandez, kulia na kushoto Mpanzu na Kibbu, Ateba anafurahi tu,

Yanga hawajatuzidi kimpira wametuzidi sana kwenye mbinu nje ya uwanja na mbinu hizo wameanza kutuzidi sio leo tangu enzi za Tabu Mangara akaja mzee Matunda.

Sajilini Tchakei mtakuja kunishukuru
hawezi kwenda simba hiyo ni mali ya yanga
 
Hakuna mchezaji ligi yetu anaitwa MAROON Tchakei

SBS ina mchezaji anaitwa Marouf Tchakei

Marouf Tchakei ni bonge moja la #10, ana kasi, anajua kuficha mpira (possession skills), anajua mipira iliyokufa faulo&kona
Simba walishaongea mpaka na agent wake msimu uliopita ili wamsajili lakini kizingiti kikuu ni Mwigulu

Mwigulu aliweka ngumu dogo aende Simba kwasbb ya mahaba yake kwa Uto,akaona Simba wataenda kunufaika pale japo Simba walikuwa tayari kufika dau la usajili
Ndipo Simba wakamfata Ahoua, japo kajamaa ni cha kawaida sana hafiki hata nusu ya quality aliyonayo Tchakei

SBS pale kuna talent za maana sana sana kina Arthur Bada, Elvis Rupia, Anthony Tra Bi Tra, kulikuwa na Benjamin Tanim beki pekee aliyekuwa anaitwa National team Nigeria kutokea Africa

Scout anaefanya kazi na SBS nampa salute sana
Tangu zamani sana scout wa mwigulu(Singida ) yuko vizuri ku sport wachezaji
 
Hakuna mchezaji ligi yetu anaitwa MAROON Tchakei

SBS ina mchezaji anaitwa Marouf Tchakei

Marouf Tchakei ni bonge moja la #10, ana kasi, anajua kuficha mpira (possession skills), anajua mipira iliyokufa faulo&kona
Simba walishaongea mpaka na agent wake msimu uliopita ili wamsajili lakini kizingiti kikuu ni Mwigulu

Mwigulu aliweka ngumu dogo aende Simba kwasbb ya mahaba yake kwa Uto,akaona Simba wataenda kunufaika pale japo Simba walikuwa tayari kufika dau la usajili
Ndipo Simba wakamfata Ahoua, japo kajamaa ni cha kawaida sana hafiki hata nusu ya quality aliyonayo Tchakei

SBS pale kuna talent za maana sana sana kina Arthur Bada, Elvis Rupia, Anthony Tra Bi Tra, kulikuwa na Benjamin Tanim beki pekee aliyekuwa anaitwa National team Nigeria kutokea Africa

Scout anaefanya kazi na SBS nampa salute sana
Hizi ni stori za vijiweni, kwani Simba haijasajili mchezaji kutoka kwenye timu inayoongozwa na Mwigulu? Kama angekuwa na lengo la kuwakomoa Simba basi kusingewahi kutokea biashara kati ya Simba na Singida. Acha stori za vijiweni, ukiona hivyo basi mchezaji alikuwa hauzwi. Huyo Kagoma mnayetamba naye, mlitolea mawenzi market fc?
 
Shiza Ramadhani Kichuya na Ibrahimu Ajibu Migomba ndio wachezaji pekee wa kuisaidia Simba, sijui scouts wanakwama wapi
 
Nawashauri sana viongozi wangu huyu Maroon Tchakei ni fundi hasa zaidi ya Ahoua sijui Ngoma sijui Okajepha.

Huyu jana angekuwa ndio sehemu ya Simba zile faulo alizokuwa akipiga hovyo Ahoua jamaa alikuwa anaweka kambani kabisa

Chonde chonde viongozi mnaodili na usajili mechi ya marudiano na Yanga mtakosa visingizio, wekeni huyu mtu alete furaha, kiungo yeye kiungo Fernandez, kulia na kushoto Mpanzu na Kibbu, Ateba anafurahi tu,

Yanga hawajatuzidi kimpira wametuzidi sana kwenye mbinu nje ya uwanja na mbinu hizo wameanza kutuzidi sio leo tangu enzi za Tabu Mangara akaja mzee Matunda.

Sajilini Tchakei mtakuja kunishukuru
Sasa kama hawajawazidi kimpira kwa nini unapendekeza suluhisho la kimpira?
 
Back
Top Bottom