Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Kiungo mkongwe, Marouane Fellaini (Mkubwa Fella) amestaafu soka la ushindi akiwa na miaka 36.
Fellaini ambaye ni Mbelgiji amewahi kukipiga vilabu kadhaa ikiwemo Everton na Man Utd kabla kutimkia Uchina.
Ameshinda FA Cup pamoja na Europa League mwaka 2017 akiwa na Man Utd.
Mwaka 2018 alishika nafasi ya tatu akiwa na Ubelgiji katika Fainali za Kombe la Dunia pale Urusi.
Mapumziko mema ya kustaafu.
Fellaini ambaye ni Mbelgiji amewahi kukipiga vilabu kadhaa ikiwemo Everton na Man Utd kabla kutimkia Uchina.
Ameshinda FA Cup pamoja na Europa League mwaka 2017 akiwa na Man Utd.
Mwaka 2018 alishika nafasi ya tatu akiwa na Ubelgiji katika Fainali za Kombe la Dunia pale Urusi.
Mapumziko mema ya kustaafu.