Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilishamsahau kumbe alikuwa bado anacheza,
Hana akili hata moja ya mpira
Wachezaji wengi wa United kwa wakati ule wamshukuru Mourinho timu ilikuwa mbovu mno ile[emoji23][emoji23][emoji23]
Mourinho alikuwa anamkubali sana
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
oh all the best mbeleni huyuKiungo mkongwe, Marouane Fellaini (Mkubwa Fella) amestaafu soka la ushindi akiwa na miaka 36.
Fellaini ambaye ni Mbelgiji amewahi kukipiga vilabu kadhaa ikiwemo Everton na Man Utd kabla kutimkia Uchina.
Ameshinda FA Cup pamoja na Europa League mwaka 2017 akiwa na Man Utd.
Mwaka 2018 alishika nafasi ya tatu akiwa na Ubelgiji katika Fainali za Kombe la Dunia pale Urusi.
Mapumziko mema ya kustaafu.
View attachment 2893197