Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

mhmm! baada ya kumsadia wewe sasa wapongeza kweli tutafika jamani?

nimsaidie nini lara 1? kwani huyu mtoto hadi asaidiwe? she is matured, ana degree huyu mpaka cpa kapewa, keshafikia kiwango cha kupambanua baya na jema...

Mi wala sijashabikia jambo lolote.... Hoja ililetwa majuzi na mwenzetu ambaye yuko ndoani, akaeleza A to Z on what is IN, lakini lara 1 anaeleza anavyona yeye.

tusubiri akishaolewa maybe ataona utam na uchungu wa ndoa....
 
Last edited by a moderator:

Amezoe kulalama hata vitu vya hovyo amegonga mwamba.
 
Tutambue kwamba hapa duniani kila mtu kaumbwa kivyake na ananyota yake na mipango yake aliyoipanga Mungu.
Kama ww umeumbwa kwaajili ya kustarehesha utakuwa mstareheshaji tu na utaichukia ndoa maisha yako yote hata ueleweshwe na mashehe na mapadre lakn bado utaidis ndoa kwasababu hulka yako ipo kwaajili ya kustarehesha hata kweye vitabu vya dini walikuwepo akina rahabu.
Sio kila mwanamke yupo kwaajili ya kuolewa na kuwa mke.........
 

Mambo ya Ngoswe nilishamwambia amwachie ngoswe ujuaji ujuaji hautamsaidia.
 
mhmm! baada ya kumsadia wewe sasa wapongeza kweli tutafika jamani?

Ukiwa na akili yenye uvivu wa kufikiri utamwona kila mtu in genius but tafakari kidigo mifano ya lala ulikuwa mpango wao Mungu, c muda atatwambia yesu alizaliwa nje ya ndoa, ameulizwa kuzaa nje ya ndoa ni sababu ya ndoa au wanandoa? Yeye kama mzizi namba moja na Waume za watu yeye ndiye hypocrisy bkz anatamani tendon ila anaona kulifanya isivyo, make than a kubwa ya ndoa in magegedano hilo rasmi huku tukiwa na mategemeo ya kukuza uzao wetu.
 
Wazuri wanaolewa ; Manung'ayembe kama wewe wanahangaika
 

Respect.... she is "USED", and she doesnt like it at all

It doesnt matter how smart she is, the fact is... she is "USED"
 

hapo umenena huu sio mda wa kukaa na kujitafuna kuwaelewesha watu wazma huwez jua watu wameumbwa tofauti tofauti. Sio kila mwanamke anafaa kuwa mke. Wengne wapo kwaajili ya kuwapunguzia ugumu wale wanaume wachepkaji.
Kwahyo mtu kama huyo huwa anakuwa amezoea kujirusha na wanaume tofauti huyo lazma ndoa ataichukia tu
 
Last edited by a moderator:
life is more than marriage.... its just a matter of play your card well...ndoa imesababisha mengi humu duniani mabaya na mazuri .... any way we are waiting kwa hao amabo wanaushuhuda mzuri na mbaya pia
 
maisha yanafrustrate sana... na ukishakuwa "USED" inakua mbaya zaidi

it reaches a time when you force something to happen where it cannot happen..



sidhani kuwa above 30 halafu ukawa huna mume hata wa kusingiziwa ndo iwe sababu ya kuiita ndoa such nude calls..

Ndoa na iheshimiwe, hata kama imejaa viraka..
 
Mmh patachimbika humu leo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Debate hi haita reach conclusion mana kila mtu na mtazamo.wake anavo perceive issues na ku tackle kila cha msingi kila mtu afanye anachoona chema machoni pake mwenyewe mwingne anaweza kuona kitu hiki kizuri wakati mwingne anakiona kibaya
 
lara1wera wera!!
Usifute habana kwani wewe hayo nimawazo yako na upo sahihi kutokana na utazamavyo wewe na uonanvyo, hapa hakuna kufuta kauli teh teh yaani hapa ni kama UKAWA mpka kielewewe ati!!

Yani full UKAWA
 
Last edited by a moderator:
it reaches a time when you force something to happen where it cannot happen..



sidhani kuwa above 30 halafu ukawa huna mume hata wa kusingiziwa ndo iwe sababu ya kuiita ndoa such nude calls..

Ndoa na iheshimiwe, hata kama imejaa viraka..


Well noted my braza
 
Huu mtanange yakupasa kuwa mpole...

Mi nadere tuu kwa hapa si tii neno labda kuchagiza tuu...Duhhh
 
Wazuri wanaolewa ; Manung'ayembe kama wewe wanahangaika

kweli kabisa huyu yamemshinda kaamua kupaka matope ndoa.
Kwanza stori zake zote zmekaa kiuzinzi tu mara ametoka na mme wa mtu mara liwalo na liwe ntakufa na mme wa mtu. Mwanamke kokap huyu.
Ngoja nizitafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…