Married couples friends!

Married couples friends!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Binafsi naona siyo sawa kwa Mwanamke aliyeolewa kuwa na rafiki ambaye hajaolewa, vile vile kwa Mwanaume ambaye ameshaoa kuwa na rafiki “muhuni” ambaye bado yuko single, ni vizuri wenye ndoa wakawa na marafiki wa pia wenye ndoa, angalau inaweza kusaidia kuokoa ndoa.

Lkn wakati mwingine unakuta Mwanamke kaolewa lkn ana rafiki single kutwa anashinda viwanja, sasa wanaongea nini?
 
Ongea nae tu atakuelewa mzee. Wanawake wa siku hizi waelewa.
 
Binafsi naona siyo sawa kwa Mwanamke aliyeolewa kuwa na rafiki ambaye hajaolewa, vile vile kwa Mwanaume ambaye ameshaoa kuwa na rafiki “muhuni” ambaye bado yuko single, ni vizuri wenye ndoa wakawa na marafiki wa pia wenye ndoa, angalau inaweza kusaidia kuokoa ndoa.

Lkn wakati mwingine unakuta Mwanamke kaolewa lkn ana rafiki single kutwa anashinda viwanja, sasa wanaongea nini?
Mpaka mwanamke aliyeolewa anaenda viwanja unadhani tatizo ni la mwanamke au la mumewe
 
Binafsi naona siyo sawa kwa Mwanamke aliyeolewa kuwa na rafiki ambaye hajaolewa, vile vile kwa Mwanaume ambaye ameshaoa kuwa na rafiki “muhuni” ambaye bado yuko single, ni vizuri wenye ndoa wakawa na marafiki wa pia wenye ndoa, angalau inaweza kusaidia kuokoa ndoa.

Lkn wakati mwingine unakuta Mwanamke kaolewa lkn ana rafiki single kutwa anashinda viwanja, sasa wanaongea nini?
Sijaolewa ila naexperience yakuishi na mtu .
Kuolewa ni kitu chema na ukishaolewa unabadilika naunakuwa na majukumu na upo busy masaa yote .
Kabla hujapata mtoto unamume wakumtunza na kumuhudumia naunaenda home mapema kabla yake kumuandalia chakula na kuweka nyumba safi wewe nawe uwe msafi .
Kingine mume wako unatakiwa kumuona special nakumjali.
Lazima kila siku uwe kwa ajili yake.
Ila mwanaume naye pia lazima awe tayari kuhudumiwa ,kushukuru , kupenda nakujali nakuwa tayari kuitwa baba /mume na mpenzi sasa anatakiwa naye ashiriki katika kufanya usafi , kupika na kuwa tayari kwa usaidizi wowote wa nyumbani sio kujibweteka tu nakusubiria tu mwanamke amfanyie kila kitu .

Kwanini mwanamke anarudi kuwa single ni ushirikiano hakuna mwanaume haoni au hajajianda kuwa mume anarudi usiku muda wakula umepita na juhudi ya mwanamke wake inapotea mtu anafanya siku kadhaa anaona ajichanganye na masingle ladies kunirusha arudi muda mume wake karudi so wanarudi wote .

Kila akiboreka inambidi afanye hivyoo ili asiboreke .
Maisha ya ndoa nikujitoa sio kuishi nje ilimradi uwe na pete mkononi hapa ni matendo nimeoa au nimeolewa haupo tena single unaenda kwa mwenzi wako kama hukuwa tayari usingeoa .

Kuna wanawake ni wakubwa 38 au 40 ila bado hawaoni kuwa wameolewa watulie home hapana wanazurura zurura kama matahira hawatulii.

Hata wanaume wengine wakioa wapo hivyoo hawapo serious na ndoa wanashinda bar na huku kaacha mke home good day
 
Viwanja aende na mumewe
Mhm hiyi nikumbana siku akugeukia akwambia na mume viwanja aende na mkeo....tuoeane uhuru wenye mipaka. Huyu mtu umemkuta alikuwa na marafiki so girls nyt out zitatokea once in a while mwacha aende tuu as long as anaaga na mme anajua.

Shida yote hii ni wivu tuu wa kijinga kwamba mke atatombwer 🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo mbususu yenyewe umekuta breki pumbuz sasa wivu wa kijinga wa nini. Afterall njemba ikitomber habandui mbususu akaondoka nayo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mhm hiyi nikumbana siku akugeukia akwambia na mume viwanja aende na mkeo....tuoeane uhuru wenye mipaka. Huyu mtu umemkuta alikuwa na marafiki so girls nyt out zitatokea once in a while mwacha aende tuu as long as anaaga na mme anajua.

Shida yote hii ni wivu tuu wa kijinga kwamba mke atatombwer 🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo mbususu yenyewe umekuta breki pumbuz sasa wivu wa kijinga wa nini. Afterall njemba ikitomber habandui mbususu akaondoka nayo🤣🤣🤣🤣🤣
Ukiolewa inabidi utofautishe kuolewa na kutokuolewa
 
Ukisikia "Dah mwanangu jana. wife ...." Jiandandae kutoa usaidizi either wa kifedha au ushauri.
 
Mhm hiyi nikumbana siku akugeukia akwambia na mume viwanja aende na mkeo....tuoeane uhuru wenye mipaka. Huyu mtu umemkuta alikuwa na marafiki so girls nyt out zitatokea once in a while mwacha aende tuu as long as anaaga na mme anajua.

Shida yote hii ni wivu tuu wa kijinga kwamba mke atatombwer 🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo mbususu yenyewe umekuta breki pumbuz sasa wivu wa kijinga wa nini. Afterall njemba ikitomber habandui mbususu akaondoka nayo🤣🤣🤣🤣🤣
Sio wivu kwani hata yupo ahudumiwe nayeye anatomber watu wengine
 
Mhm hiyi nikumbana siku akugeukia akwambia na mume viwanja aende na mkeo....tuoeane uhuru wenye mipaka. Huyu mtu umemkuta alikuwa na marafiki so girls nyt out zitatokea once in a while mwacha aende tuu as long as anaaga na mme anajua.

Shida yote hii ni wivu tuu wa kijinga kwamba mke atatombwer 🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo mbususu yenyewe umekuta breki pumbuz sasa wivu wa kijinga wa nini. Afterall njemba ikitomber habandui mbususu akaondoka nayo🤣🤣🤣🤣🤣

Inaelekea umekata tamaa na kupoteza matumaini kabisa na Ndoa!
 
Back
Top Bottom