Married Men & women only, mlio na miaka 30+

Married Men & women only, mlio na miaka 30+

Curvyminx

Senior Member
Joined
Nov 29, 2016
Posts
181
Reaction score
224
Nina swali kwenu. Mnafanya mazoezi gani, au mabadoliko yotote ya chakula pindi mnapo hit miaka 30+. Nauliza hivi kwasababu kuanzia miaka hiyo sex is shorter si kama awali, kidogo tu wazungu hao. Tofauti na wanawake, sex drive iko juu mno, mpaka inatisha. Nini kimekusaidia ku last longer? Ukichana na mundende, vumbi n.k.
Mliolewa nanyi plz share.
 
Kwa sisi wa Kigoma Kuna hiki kinywaji kutoka burudani. Natural and very effective
IMG_20221226_151314_009.jpg
 
Nina swali kwenu. Mnafanya mazoezi gani, au mabadoliko yotote ya chakula pindi mnapo hit miaka 30+. Nauliza hivi kwasababu kuanzia miaka hiyo sex is shorter si kama awali, kidogo tu wazungu hao. Tofauti na wanawake, sex drive iko juu mno, mpaka inatisha. Nini kimekusaidia ku last longer? Ukichana na mundende, vumbi n.k.
Mliolewa nanyi plz share.

30+ umeshabeba takataka kibao pamoja ugumu wa utafutaji.

Hii age 30 kuna magonjwa yanakukuta pale ujazibiti mapema au ujana ulikuwa unatumia vyako visivo na afya
 
Acha pombe, acha kuendeleza ulevi, hakuna uhusiano na 30+ na early ejaculation, hakuna.

Mimi niko kwenye hizo 30+ sipigi mazoezi yoyote ila sinywi pombe na situmii kilevi chochote. Napiga show kama kawaida na napiga goli za kutosha.

Unaweza kua una matatizo tu ya kiafya, kamuone daktari.
 
Ukifika umri huo unapaswa ukubali matokeo na ufanye kadri ulivyojaaliwa. Kinyume na hapo kila utakachoambiwa kinaongeza nguvu basi utafakamia.

Ikiwa wewe mwenyewe unafika mshindo hata kwa sekunde 5 basi mengine yaliyobaki ni majaaliwa.

Huwezi kushindana na ulipotoka. Ogopa sehemu ambayo haina ishara ya kutaka au kukinai.
Wewe mwanaume unajulikana kabisa ukitaka mnara unasimama, wenzio wapo wapo tu, ukiweka mate walete. Sasa huyo ni wa kushindana nae???

Unaweza ukajitutumua masaa hata 2 lakini ukiondoka akaja njemba nyingine na akapewa kama wewe tu.

Halafu kitakwimu ili iwe umemlala demu ni kitendo cha kumuingilia tu haijalishi hata ni kwa sekunde, ikitokea wakahesabiwa waliomlala na wewe umo. Sasa unahangaika nini ndugu yangu?
 
30+ umeshabeba takataka kibao pamoja ugumu wa utafutaji.

Hii age 30 kuna magonjwa yanakukuta pale ujazibiti mapema au ujana ulikuwa unatumia vyako visivo na afya
Na chakula cha usiku kiko pale pale 😂 tena dozi inahitajika x2, inakuwaje sasa?
 
Ukifika umri huo unapaswa ukubali matokeo na ufanye kadri ulivyojaaliwa.

Ikiwa wewe mwenyewe unafika mshindo hata kwa sekunde 5 basi mengine yaliyobaki ni majaaliwa.

Huwezi kushinda na ulipotoka. Ogopa sehemu ambayo haina ishara ya kutaka au kikinai.
Wewe mwanaume unajulikana kabisa ukitaka mnara unasimama, wenzio wapo wapo tu, ukiweka mate walete. Sasa huyo ni kushindana nae???

Unaweza ukajitutumua masaa hata 2 lakini ukiondoka akaja njemba nyingine na akapewa kama wewe tu.

Halafu kitakwimu ili iwe umemlala demu ni kitendo cha kumuingilia tu haijalishi hata ni kwa sekunde, ikitokea wakahesabiwa waliomlala na wewe umo. Sasa unahangaika nini ndugu yangu?
🤔
 
Huwa nawashangaa sana watu wanaoa before 30. Asee sasa ujana una ula lini? Nilijiapiza sitakuja oa mpaka nimalize starehe zangu at 20s. Nikaja oa at 32 na ngoma inadumda fresh tuu.
 
Nina swali kwenu. Mnafanya mazoezi gani, au mabadoliko yotote ya chakula pindi mnapo hit miaka 30+. Nauliza hivi kwasababu kuanzia miaka hiyo sex is shorter si kama awali, kidogo tu wazungu hao. Tofauti na wanawake, sex drive iko juu mno, mpaka inatisha. Nini kimekusaidia ku last longer? Ukichana na mundende, vumbi n.k.
Mliolewa nanyi plz share.
Pole mkuu

Acha kutumia sukari kama kiungo cha chai!

Tumia asali mbichi kwenye chai!tena asubuhi na jioni!

Asali na chai inaunguza Sana mafuta hasa ya tumboni!

Inasafisha mafuta ya kwenye rectum!mlo wa jioni uwe wa kiasi usishindilie maugali au wali kibao!baada ya mlo kunywa chai iliyochanganywa na asali walau vijiko viwili vya chai!

Kuna Mabadiliko utayaona, sukari ya kwenye chai plus wanga kibao ni Tatizo kwa wengi Sana!

Jaribu utashukuru Baadae!
 
Kuna kitu Cha kujifunza hapa
Pole mkuu

Acha kutumia sukari kama kiungo cha chai!

Tumia asali mbichi kwenye chai!tena asubuhi na jioni!

Asali na chai inaunguza Sana mafuta hasa ya tumboni!

Inasafisha mafuta ya kwenye rectum!mlo wa jioni uwe wa kiasi usishindilie maugali au wali kibao!baada ya mlo kunywa chai iliyochanganywa na asali walau vijiko viwili vya chai!

Kuna Mabadiliko utayaona, sukari ya kwenye chai plus wanga kibao ni Tatizo kwa wengi Sana!

Jaribu utashukuru Baadae!
 
Back
Top Bottom