Haaahaaa aiseeSikukuu inaweza kuwa alhamisi au ijumaa ikitegemea kuandama kwa jua
Tumechelewa Sana Ndugu ZanguSikukuu inaweza kuwa alhamisi au ijumaa ikitegemea kuandama kwa jua
Nawe pia mkuu muwe na afya teleAmina mkuu,
Mungu akutangulie wewe na familia yako
Usiwakorofishe ndugu zetu.Sikukuu inaweza kuwa alhamisi au ijumaa ikitegemea kuandama kwa jua
Heee.. unataka msosi gani ?Mbona sioni misosi
Mkuu hiyo ya mwisho ni yako usituhusishe na sisiTumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumegongwa Sana Ndugu Zangu