Martha na Raila utawala wao utakumbana na changomoto hii

Martha na Raila utawala wao utakumbana na changomoto hii

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,711
Reaction score
3,279
Habari wakuu

Kutokana na athari za vita inayoendelea nchini Ukraine na haionekani kuisha karibuni,nawasikitikia sana Raila na Martha endapo watachaguliwa kuongoza nchi ya Kenya

Wananchi watakua na tegemeo kubwa la kubadilika kwa hali ya maisha na itawawia vigumu sababu ya vita hivo ambayo wananchi wa kawaida hawataelewa kama ndio sababu.

Hapo ndipo upinzani utaamka na kuwazodoa kwamba mnawaona watu mliosema eti watabadilisha maisha yenu.


So najaribu kuona mbele hapo na hali ya dunia inapoelekea nawaonea huruma sana.



Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom