MARTIN KADINDA,hivi kweli meneja ndo anatakiwa awe hivi kwa mteja wake.

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,786
Reaction score
5,963
Habari zenu wakuu..

Kayika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.

Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa kuwekwa na manager wake,labda kama ana mmanage kwenye biashara ya Ngono..



Picha hiyohapo niliyo screenshoot.
 

Attachments

  • 1411102728929.jpg
    70.7 KB · Views: 7,687
Leo ndo nimeamini lile jamaa box tu....yani haya maneno yanasemwa na mwanaume...!!???????....
 
Bwahahahaaaa...dah hili jamaa ni noumer
 
warumi uyu ndio juzi ulikuwa unamsifia ni mtu smart....Nadhani unaanza kunielewa sasa.
 
Last edited by a moderator:
Hana cha umeneja wala nini kimtokacho mtu ndo kilicho ujaza moyo wake. Yawezekana ni yeye mwenye hayo mawazo finyu.
 
Biashara ya cyber sex imeshamiri sana hapa tanganyika, manager anatangaza biashara ya binti husika,
Nyie ambao hamna managers cyber sex mnaifanya wenyewe kwa profile pics zenu mlizovaa hovyo.
Binti huyo anauza nyama za usiku utadhani butcher za mchana.
 
jamani naombeni namba ya huyu manager na mie nipasue marinda(sema ishapasuliwa marinda,mie nitafune tu) sio wanafaidi tu akina marketing voda faster sie tunaangalia tu wakati jamaa ana kitovu kizuli kuliko cha lulu...ile dental formula inaonekana nzuri aki ku corn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…