Martin Kadinda: Wanaume wengi wananitongoza wakidhani ni shoga

Status
Not open for further replies.
mwanaume watu wakishaanza kukuhisi vibaya jua kuna tatizo lisemwalo lipo
 
Some things are better left unsaid. Huku ni kujidhalilisha kama sio kutafuta wateja

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Its strange na inasikitisha..yaani kwa maelezo yake ni kama amepigia mstari..inaniuma utadhani ni kijana wangu..
 

inaonekana unamfahamu kwa undani huyu dada martin?
 
Duh nilifikiri nimedata nilivyokuwa nasoma. Vitu unasimulia hadharani halafu bado hastuki. Ingawa simfahamu lakini story yake inatosha kumcategorize
 
Mwanaume wa kweli hawezi kusema hichi kitu hadharani ni aibu na fedheha......yani kabisa unatangaza wanaume wenzako wanakutongaza.....haiwezekani.....

Umeona hiyo danger!
 
M/ume uliyekamilika huwezi kuongea kitu km hicho,,na kwanini asitongozwe Kala Piña kwa nini wewe?


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Inalilah wainailayhi rajiun. Vipusti wamejaa kila kona
 
wekeni picha yake tumuone,wengine hatumjui,tunabeba mabox mda wa kufuatilia mambo hayo hatuna!
 
siamini kweli kama mwanaume lijali anaweza kutamka maneno kama haya.Huyu anakaribisha wateja
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…