Uchaguzi 2020 Martin Msuha amechukua fomu, kugombea ubunge Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi

Uchaguzi 2020 Martin Msuha amechukua fomu, kugombea ubunge Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Aliyekuwa Mbunge jimbo la Mbinga Vijijini 2015/2020 Martin Msuha, amechukua fomu, kugombea ubunge Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

1594984918356.png
 
Duh kaona maji marefu huko mbinga vijijini ama?
 
Amekimbia hajafanya chochote

Halafu utasikia wenzetu hapa wanakuja na “wapinzani hawajaleta maendeleo majimboni mwao” na wengine “ilani ya CCM imetekelezwa kwa 100%”. Mwingine anasema “mlikosea kuchagua”.

Mbunge wa CCM uliyeleta maendeleo jimboni mwako, unayakimbiaje!!!
 
Back
Top Bottom