MARTIN ODEGARD ANASHEREKEA KUMBUKIZI YA KUZALIWA LEO

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Nahodha wa Vinara wa Ligi kuu England, Arsenal, Mnorway Martin Ødegaard leo anatimiza miaka 24.

Ødegaard ni nahodha wa pili mwenye umri mdogo zaidi kwenye Ligi kuu England nyuma ya mlinzi Lloyd Kelly wa AFC Bournemouth mwenye umri wa miaka 23.

Kheri ya siku ya kuzaliwa Nahodha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…