BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
UPDATE:
Chama cha Wafanyakazi wa Usafiri wa Anga cha Kenya (Kawu) kimetaka wanachama wao kuacha kazi leo baada ya Mamlaka ya Uwanja wa Ndege wa Kenya kukamilisha na kutekeleza Makubaliano ya Pamoja ya Majadiliano (CBA) ambayo yalijadiliwa na kuafikiwa mwaka wa 2019.
Wanachama wa Kawu ambao ni pamoja na wafanyakazi wa huduma kwa wateja wa uwanja wa ndege, wafanyakazi wa usalama wa ndege za ardhini walianza kususia saa 8 usiku
Katibu mkuu wa Kawu Moss Ndiema aliwataka wanachama kuondoka maeneo ya kazi na kubaki nje katika maeneo yote.
======================
Mgomo huo umeanza leo Nov 5, 2022 saa 12 asubuhi baada ya Marubani kudai uongozi wa Kenya Airways umeshindwa kutatua madai ya michango ya Pensheni na Malipo yao yaliyoahirishwa baada ya notisi ya siku 14.
KQ inayosafirisha abiria 8,000 kwa siku imesema mgomo huo uko kinyume cha sheria na unaweza kuisababishia kampuni hiyo hasara ya zaidi ya Tsh. Bilioni 5.7 kwa siku.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la Kenya (KQ) Allan Kilavuka amewapa marubani waliogoma saa 24 kurejea kazini vinginevyo wachukuliwe hatua za kinidhamu.
=====================
Kenya Airways (KQ) CEO Allan Kilavuka has given striking pilots 24 hours to return to work or face disciplinary action.
On Saturday, he said, "This illegal strike has really impacted our business... The impact on the economy is significant. We're going to lose Ksh300 million everyday."
According to Kilavuka, the impact of the strike involving 400 pilots, which began at 6am on Saturday, is:
"The onus is on Kenya Airways management to bridge this impasse," a statement signed by KALPA general secretary, Capt Murithi Nyagah said in a statement on Saturday.
He said pilots were exercising their right to withdraw labor as their grievances have not been addressed.
CITIZEN DIGITAL
=====================
Thousands of flights were disrupted, and passengers stranded as pilots at Kenya Airways PLC (KQNA.NR), one of Africa's biggest carriers, began a strike on Saturday, despite the government urging them to call it off.
The strike that commenced at 6 a.m. (0300 GMT) will affect thousands of business and leisure travellers at one of Africa's most important aviation hubs.
The Kenya Airline Pilots Association (KALPA) said the carrier's management declined to listen to their proposals on how resolve their grievances.
"No KQ (Kenya Airways) aircraft has departed Jomo Kenyatta International Airport flown by a KALPA member from 6 a.m. this morning," the union said in a statement. "The strike is fully in force."
An airline official did not respond to a call seeking comment. Before the action the company had called the planned strike unlawful and warned it could jeopardise its recovery from the pandemic, saying it could lose at least 300 million shillings ($2.5 million) a day.
A stranded passenger at the airport in the capital Nairobi, who identified himself as Lawrence, said he had arrived at 5 a.m. to take a flight to Johannesburg in South Africa but "unfortunately they've just told me that it's cancelled due to the strike".
Other passengers told Reuters early on Saturday that the previous night was chaotic as travellers sought to travel before the strike started. Hundreds of passengers who had arrived in transit were trapped inside the airport as their connection flights failed to take off, they said.
The pilots union had said it would call a strike over a dispute on pensions contributions and settlement of deferred pay for its members after a 14-day notice had passed without the airline's management addressing their grievances.
In last-minute talks to avert a strike, Transport Minister Kipchumba Murkomen had issued a plea to the pilots union not to go ahead with the industrial action.
One of Africa's largest airlines, Kenya Airways carried over 8,000 passengers daily in the first half of this year, according to the airline.
REUTERS
Chama cha Wafanyakazi wa Usafiri wa Anga cha Kenya (Kawu) kimetaka wanachama wao kuacha kazi leo baada ya Mamlaka ya Uwanja wa Ndege wa Kenya kukamilisha na kutekeleza Makubaliano ya Pamoja ya Majadiliano (CBA) ambayo yalijadiliwa na kuafikiwa mwaka wa 2019.
Wanachama wa Kawu ambao ni pamoja na wafanyakazi wa huduma kwa wateja wa uwanja wa ndege, wafanyakazi wa usalama wa ndege za ardhini walianza kususia saa 8 usiku
Katibu mkuu wa Kawu Moss Ndiema aliwataka wanachama kuondoka maeneo ya kazi na kubaki nje katika maeneo yote.
======================
Mgomo huo umeanza leo Nov 5, 2022 saa 12 asubuhi baada ya Marubani kudai uongozi wa Kenya Airways umeshindwa kutatua madai ya michango ya Pensheni na Malipo yao yaliyoahirishwa baada ya notisi ya siku 14.
KQ inayosafirisha abiria 8,000 kwa siku imesema mgomo huo uko kinyume cha sheria na unaweza kuisababishia kampuni hiyo hasara ya zaidi ya Tsh. Bilioni 5.7 kwa siku.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la Kenya (KQ) Allan Kilavuka amewapa marubani waliogoma saa 24 kurejea kazini vinginevyo wachukuliwe hatua za kinidhamu.
=====================
Kenya Airways (KQ) CEO Allan Kilavuka has given striking pilots 24 hours to return to work or face disciplinary action.
On Saturday, he said, "This illegal strike has really impacted our business... The impact on the economy is significant. We're going to lose Ksh300 million everyday."
According to Kilavuka, the impact of the strike involving 400 pilots, which began at 6am on Saturday, is:
- A total of 15 planes have been grounded
- 10,000 passengers have been affected
- Ksh300 million is expected to be lost for each day of the strike
- 6,000 tons of cargo is affected
"The onus is on Kenya Airways management to bridge this impasse," a statement signed by KALPA general secretary, Capt Murithi Nyagah said in a statement on Saturday.
He said pilots were exercising their right to withdraw labor as their grievances have not been addressed.
CITIZEN DIGITAL
=====================
Thousands of flights were disrupted, and passengers stranded as pilots at Kenya Airways PLC (KQNA.NR), one of Africa's biggest carriers, began a strike on Saturday, despite the government urging them to call it off.
The strike that commenced at 6 a.m. (0300 GMT) will affect thousands of business and leisure travellers at one of Africa's most important aviation hubs.
The Kenya Airline Pilots Association (KALPA) said the carrier's management declined to listen to their proposals on how resolve their grievances.
"No KQ (Kenya Airways) aircraft has departed Jomo Kenyatta International Airport flown by a KALPA member from 6 a.m. this morning," the union said in a statement. "The strike is fully in force."
An airline official did not respond to a call seeking comment. Before the action the company had called the planned strike unlawful and warned it could jeopardise its recovery from the pandemic, saying it could lose at least 300 million shillings ($2.5 million) a day.
A stranded passenger at the airport in the capital Nairobi, who identified himself as Lawrence, said he had arrived at 5 a.m. to take a flight to Johannesburg in South Africa but "unfortunately they've just told me that it's cancelled due to the strike".
Other passengers told Reuters early on Saturday that the previous night was chaotic as travellers sought to travel before the strike started. Hundreds of passengers who had arrived in transit were trapped inside the airport as their connection flights failed to take off, they said.
The pilots union had said it would call a strike over a dispute on pensions contributions and settlement of deferred pay for its members after a 14-day notice had passed without the airline's management addressing their grievances.
In last-minute talks to avert a strike, Transport Minister Kipchumba Murkomen had issued a plea to the pilots union not to go ahead with the industrial action.
One of Africa's largest airlines, Kenya Airways carried over 8,000 passengers daily in the first half of this year, according to the airline.
REUTERS