Nikweli kwamba kocha ni mwajiriwa na anapaswa kuisaidia timu iliyomwajili kupata usjindi, Shaka la mgongano wa kimaslahi haliepukiki
Katika mechi za vilabu sio rahisi lakini kwa timu za Taifa sio salama sana. Kwa tunavyowafahamu majirani zetu, wao ni Taifa kwanza alaf maslahi binafsi baadae.. Nikweli kwamba hatujafikia viwango vya kupeleka timu kwenye kombe la dunia lakini hatupaswi kutolewa na Burundi. Tutoke mbele ya safari lakini sio kizembe hivi. Sio rahisi kocha wetu mpendwa RAIA wa Burundi akaiondosha mashindanoni timu ya nchi take. Ili kuondoa hisia za hujuma, kocha huyo apumzike hadi mechi ya marudiano ipite. Ili Hata tukitolewa basi tusimshutumu kutokana ns mgongano wa kimaslahi.
Mfano Dhahiri ni Haruna Shamte kuushindwa mchezo lakini kocha akamnyamazia wakati kuna Hassan Kessy na Shaibu. TFF huu ni ushauri wa kizalendo kabisa na utamuweka huru kocha wetu
Katika mechi za vilabu sio rahisi lakini kwa timu za Taifa sio salama sana. Kwa tunavyowafahamu majirani zetu, wao ni Taifa kwanza alaf maslahi binafsi baadae.. Nikweli kwamba hatujafikia viwango vya kupeleka timu kwenye kombe la dunia lakini hatupaswi kutolewa na Burundi. Tutoke mbele ya safari lakini sio kizembe hivi. Sio rahisi kocha wetu mpendwa RAIA wa Burundi akaiondosha mashindanoni timu ya nchi take. Ili kuondoa hisia za hujuma, kocha huyo apumzike hadi mechi ya marudiano ipite. Ili Hata tukitolewa basi tusimshutumu kutokana ns mgongano wa kimaslahi.
Mfano Dhahiri ni Haruna Shamte kuushindwa mchezo lakini kocha akamnyamazia wakati kuna Hassan Kessy na Shaibu. TFF huu ni ushauri wa kizalendo kabisa na utamuweka huru kocha wetu