Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
HAMZA KASONGO ON SUNDAY MAZUNGUMZO NA MOHAMED SAID KITARUDIWA JUMAMOSI 2 JANUARI 2021 SAA TISA MCHANA
Marudio ya "Hamza Kassongo on Sunday," TVE kitarushwa In Shaa Allah Jumamosi ijayo saa tisa mchana mada ni "Mchakato wa Uhuru."
Kipindi cha saa nzima tunazungumza historia ya kujikomboa kwa Tanganyika kuanzia African Association 1929 hadi kuundwa kwa TANU 1954.
Utapata fursa ya kusikia historia ya wazalendo ambao hawafahamiki sana katika historia ya uhuru wa Tanganyika kama Hamza Kibwana Mwapachu, Rashid Ali Meli, Ali Mwinyi Tambwe, Iddi Faiz Mafungo, Robert Makange na Rashid Kheri Baghdelleh, Chief David Kidaha Makwaia, Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Hawa bint Maftah, Earle Seaton, Schneider Plantan na wengine wengi.
Marudio ya "Hamza Kassongo on Sunday," TVE kitarushwa In Shaa Allah Jumamosi ijayo saa tisa mchana mada ni "Mchakato wa Uhuru."
Kipindi cha saa nzima tunazungumza historia ya kujikomboa kwa Tanganyika kuanzia African Association 1929 hadi kuundwa kwa TANU 1954.
Utapata fursa ya kusikia historia ya wazalendo ambao hawafahamiki sana katika historia ya uhuru wa Tanganyika kama Hamza Kibwana Mwapachu, Rashid Ali Meli, Ali Mwinyi Tambwe, Iddi Faiz Mafungo, Robert Makange na Rashid Kheri Baghdelleh, Chief David Kidaha Makwaia, Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Hawa bint Maftah, Earle Seaton, Schneider Plantan na wengine wengi.