Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole bana! Mie zamu yangu ya kunyimwa umeme na hawa vibaraka wa RA ilikuwa jana sasa naagngalia. Ulimwengu anaongea vitu vya msingi sana na ndadhani CCM wana msikiliza na anawaponda sana police kwa kuingilia maandamano. Anasema polisi ni watumishi wa wananchi na lazima katiba mpya iseme hivyo.Ahgggh, tanescooo! I hate ccm na nikakati mbuzi. Get lost!
Ulimwengu anaua bendi anasema mnateua wakuu wa wilaya wachumba zetu!