#COVID19 Marufuku hospitali za umma, binafsi kulipisha chanjo ya COVID-19

Kila mtu na hiari yake, anaeona chanjo haifai asicomment tafazali, atulie kimyaa kama hajaiona mada.
Yaani wewe ucomment na wenzio wasicomment? Hicho kitu hakipo!! Usiogope mawazo mbadala! Hakuna anayelazimishwa kuchukuwa mawazo mbadala!! Na wewe weka mawazo yako na watu wasilazimishwe mawazo yako pia!! Vinginevyo anayeona chanjo inafaa asicomment na anayeona chanjo haifai asicomment!! La sivyo wote wacomment!! Amini kuwa kama hoja zako ni nzuri kuhusu chanjo watu wataziamini na hoja zingine watazikataa. Au hauziamini hoja zako kuwa zitashawishi watu wachanjwe? Unaona hoja zako zimezidiwa nguvu?
 
Eti kuwaelimisha wanyonge wanzako!!mimi mkulima niwe na maslahi gani , ila watu watachanjwa tena kwa hiari yao tuone sasa!!meko ameshaondoka na dhana zake potofu!!na wote walokuwa naye walishamkimbia na kwenda kwenye ukweli
 
Kwani madaktari na manesi si wapo siku zote? Au sijaelewa point yako mkuu nieleweshe
Yes. Kwa mfano kama ni hospitali za binafsi ukienda hupati huduma bure(hizo za siku zote).

Sasa hospitali hiyo ikipata watu 100 kwa siku wa chanjo ambao inatakiwa/inalazimika iwahudumie "bure" unadhani itakuwaje? Unless kama wamemaanisha "dawa" (chanjo) ni bure but hospitali zinaweza kuchaji service fee kwa kutoa hiyo huduma ya kuchanja.
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
 
Chanjo ya NINI BADALA WAZUIE
AJALI ZA BARABARANI WATU WANA KUFA UAMEKOMAA NA korona , wakati korona yenyewe haipo hivi akili za watu wengine ziko vipi huo ujinga wako usiweke tena

Hiyo korona inatusaidia nini siye
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
Waliokufa wote ,wanahayo magonjwa sio kweli wewe ni chawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…